Kuna uhusiano gani kati ya kushtuka na kutokwa manii au kupata hedhi?

philantrhopist

JF-Expert Member
Jun 18, 2023
376
622
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ipo hivi;

kuna wakati mtu akipaniki au kupatwa na stress mwili unaingiwa hisia kabisa hadi bao linatoka kwa mwanaume au kupata hedhi kwa mwanamke sijui hii kitaalamu imekaaje.

Kuna mtu akiwa kwenye chumba cha mtihani au mawasilisho (presentation) au jambo lolote lenye kumpa mtu hofu na wasi wasi mkubwa unaweza kupiga bao au hedhi kutoka. Na manii au hedhi ikimtoka mtu akili zinarudi na kuwa katika hali ya kawaida. Asikuambie mtu usipatwe na hali hii ni shida kwan unaweza kulowa na kuabika.

Ilishawahi kunitokea kwenye pepa swali lilikuwa rahisi majibu yakapotea nikapaniki yaani nilipizi kwanza ndo majibu yakarudi sijui shetani gani alipita hapo. Nilikuwa wa mwisho kutoka na nilikimbia hadi geto bila kuongea na watu.

Vivyo hivyo demu mmoja aliniambia kuhusu hedhi wakati wa mawasilisho aliulizwa swali na lecturer likamshinda na alivyokuwa mkali akamkata hadi alama baada kushindwa kujibu.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ipo hivi;

kuna wakati mtu akipaniki au kupatwa na stress mwili unaingiwa hisia kabisa hadi bao linatoka kwa mwanaume au kupata hedhi kwa mwanamke sijui hii kitaalamu imekaaje.

Kuna mtu akiwa kwenye chumba cha mtihani au mawasilisho (presentation) au jambo lolote lenye kumpa mtu hofu na wasi wasi mkubwa unaweza kupiga bao au hedhi kutoka. Na manii au hedhi ikimtoka mtu akili zinarudi na kuwa katika hali ya kawaida. Asikuambie mtu usipatwe na hali hii ni shida kwan unaweza kulowa na kuabika.

Ilishawahi kunitokea kwenye pepa swali lilikuwa rahisi majibu yakapotea nikapaniki yaani nilipizi kwanza ndo majibu yakarudi sijui shetani gani alipita hapo. Nilikuwa wa mwisho kutoka na nilikimbia hadi geto bila kuongea na watu.

Vivyo hivyo demu mmoja aliniambia kuhusu hedhi wakati wa mawasilisho aliulizwa swali na lecturer likamshinda na alivyokuwa mkali akamkata hadi alama baada kushindwa kujibu.
Mleta mada sio wote wanapitia hayo. Na kwa wanaume ndio nasikia leo. Siamini kama uko sahihi. Kama inakutokea basi huo ni ugonjwa
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ipo hivi;

kuna wakati mtu akipaniki au kupatwa na stress mwili unaingiwa hisia kabisa hadi bao linatoka kwa mwanaume au kupata hedhi kwa mwanamke sijui hii kitaalamu imekaaje.

Kuna mtu akiwa kwenye chumba cha mtihani au mawasilisho (presentation) au jambo lolote lenye kumpa mtu hofu na wasi wasi mkubwa unaweza kupiga bao au hedhi kutoka. Na manii au hedhi ikimtoka mtu akili zinarudi na kuwa katika hali ya kawaida. Asikuambie mtu usipatwe na hali hii ni shida kwan unaweza kulowa na kuabika.

Ilishawahi kunitokea kwenye pepa swali lilikuwa rahisi majibu yakapotea nikapaniki yaani nilipizi kwanza ndo majibu yakarudi sijui shetani gani alipita hapo. Nilikuwa wa mwisho kutoka na nilikimbia hadi geto bila kuongea na watu.

Vivyo hivyo demu mmoja aliniambia kuhusu hedhi wakati wa mawasilisho aliulizwa swali na lecturer likamshinda na alivyokuwa mkali akamkata hadi alama baada kushindwa kujibu.
Hahahaaa, hizi bao nishazipiga sana hadi Chuo.

Siku za pepa nilikuwa navaa suruali nyeusi nzito ambayo haiwezi kuonesha kulowa endapo nikipatwa na hiyo ajali.

Enzi nikiwa Sekondari nilihisi labda ni tatizo langu pekee hadi nilipokuja kuhadithiwa ma jamaa aliyesoma kitambo na ambaye alikuwa miongoni mwa roli modo wetu kijijini kwenye kusoma. Siku hiyo nilikutana naye mjini Daslam alikuja kusherehekea graduation ya mke wake ambaye alikuwa amehitimu UDSM.

Akaniona nakomaa na Advanced Physics, ndipo akaanza kunihadithia jinsi ilivyokuwa inadhalilisha enzi wanasoma, aligusia hiki kitendo cha kuingiwa na hofu hadi unafikia hatua ya kutingisha nyavu.

Kuanzia hapo nikajua kumbe ishu ni kawaida na inawatokea wengi!
 
Mleta mada sio wote wanapitia hayo. Na kwa wanaume ndio nasikia leo. Siamini kama uko sahihi. Kama inakutokea basi huo ni ugonjwa
Hiyo hali ipo kijana,nimewahi kutana nayo ata jamaa yangu pia amewahi kutana kwenye pepa la physics practical NECTA form six,mm lilitokea necta o level basic mathematics,msimamizi anataja bado nusu saa huku kuna swali la linear programming napambana nalo nikapanic bao paaaaa 😀😀😀😀
 
Mleta mada sio wote wanapitia hayo. Na kwa wanaume ndio nasikia leo. Siamini kama uko sahihi. Kama inakutokea basi huo ni ugonjwa
Hapana sio ugonjwa

Hii mimi iliwahi kunitokea nikiwa na 27yrs huko

Nakumbuka Bibi yangu aliniletea taarifa za kuibiwa sasa wakati natembea haraka haraka kuwahi hom nikaangalie nini kimeibiwa ndo nikajikuta napiga bao

Ila kufika hom hakuna kilichoibiwa ni Bibi baada ya kuingia chumbani kwangu na kukuta vitu nimevipangilia tofauti ndo akajua kwamba vimeibiwa

Pia ukitaka kujua sio ugonjwa kamia mechi na demu ambaye ulikuwa ukimuona mkali yaani ile ukimuwaza tu mashine inasimama

Sasa kamia mechi uone au uwe unaheka heka za kumtoa mtoto wa mtu Bikra sasa ile purukushani pale ile ukipata kaupenyo ukigusisha tu wazungu hao
 
Back
Top Bottom