Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,087
Aisee ulibakiwa na material nyingi sana, hapo kama usingesimamia inawezekana alikusudia kupiga hivyo vifaaHuyu fundi alikuwa karibu kabisa na ukweli kwani kwenye actual ni kama 93%. Tatizo hawa huwa wanaongeza vifaa na kama haupo inakula kwako kwani wanavibeba wao wenyewe na kupeleka kwingine. Mimi fundi alidai kofi 44 nikanunua zikabaki 22. Na hapo aliomba kofia mbili nikampa kwani nilisimamia kama vile nakaba mpira wa kona. Mabati (ya migongo mipana) pia yalibaki pamoja na kuwa tulipima mita moja moja lakini 14 hivi yalibaki nikashangaa sana labda hawajui