Bila kuweka ramani tukajua ukubwa wa nyumba, tutakachokuambia kwa sehemu kubwa kitakuwa ni try and errorHeri ya mwaka mpya nyote. Kwa TSH 4mil inaweza nifikisha hatua ipi katika kuiendeleza hio nyumba.
NB: Nimesha nunua Bati, mbao za kupaua na fundi nimesha mlipa.
huyo fundi uliyemlipa mbona angeweza kujibu kiasi kikubwa cha suala lako!Heri ya mwaka mpya nyote. Kwa TSH 4mil inaweza nifikisha hatua ipi katika kuiendeleza hio nyumba.
NB: Nimesha nunua Bati, mbao za kupaua na fundi nimesha mlipa.
Nimesha weka picha MkuuNyumba ipi mkuu? Mbona hamna picha
Anasimamia MTU mwingine Mimi ni mtoaji wa pesa Tu Mkuu. ndio maana nimetaka mawazo yenuhuyo fundi uliyemlipa mbona angeweza kujibu kiasi kikubwa cha suala lako!
Poa poaWeka Magril na Plasta
hakuna usalama mzuri mkuu, nisipo weka magril wataingia kuiba nyayaBaada ya kuezeka, fanya mpango wa wiring na plumbing.
Naona kuna banda hapo nyuma kama vile kuna mtu anaishi.hakuna usalama mzuri mkuu, nisipo weka magril wataingia kuiba nyaya
Naona kuna banda hapo nyuma kama vile kuna mtu anaishi.
Weka tu nyaya na plumbing, magrill sioni umuhimu wake hapo ka ni kijijini.
Halafu hiyo nyumba sidhani kama ni 15m X 16mni
Ni kweli kunamtu ila shida ni nyakati za usiku atakuwa tayari kulinda na ni lazima alipwe. Ukubwa ntamuuliza fundi ili niwe nauhakika zaidiNaona kuna banda hapo nyuma kama vile kuna mtu anaishi.
Weka tu nyaya na plumbing, magrill sioni umuhimu wake hapo ka ni kijijini.
Halafu hiyo nyumba sidhani kama ni 15m X 16m.