Gloriamagret
Member
- Jun 12, 2023
- 47
- 155
Najenga nyumba yenye ukubwa wa square mita 300.naomba kujua makisio ya mbao za kupaua 2x2 . 2x4. Firsher bod.misumari ya bati.misumari ya kupaua.idadi ya bati za kupaua zenye urefu wa mita 3 nk.idadi ya boks za tiles 40x40.
Garama.za fundi wa kupaua nk.
Garama.za fundi wa kupaua nk.