mkirua vunjo
Member
- Nov 11, 2011
- 25
- 5
Jamani naona kweli kwa upande wangu ni kichekesho kikubwa sana, inakuwaje mtu uombe upigiwe kura wakati wewe mwenyewe hujajiandikisha!
Naomba ma great thinkers mjaribu kuangalia hili.
Ni kwamba Mgombea wa CCM Arumeru Sioi Sumari hajajiandikisha kupiga kura popote Tanzania, sasa leo anakuja kuomba kura, hii inakuwaje
Naomba ma great thinkers mjaribu kuangalia hili.
Ni kwamba Mgombea wa CCM Arumeru Sioi Sumari hajajiandikisha kupiga kura popote Tanzania, sasa leo anakuja kuomba kura, hii inakuwaje