Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,767
Shida hamja elewa. Sijui ni hadi mpigwe na ub*o mashavuni ndio muelewe.Unazaaje na mtu na huna mpango wa kumuoa yaan mnaona sawa kabisa eti ooh mtego...yaan mwanaume uzae na mwanamke afu mtoto alee mwanamke peke ake.
Lakini jua tu kuwa, hojq hapa sio kukataa kulea ila tunaikataa hiyo mbinu yao ambayo wengi wameingia kwenye matatizo kwani walipewa mizigo bila wao kuwa tayari. Mimi siamini kama suala la kuzaa anayepaswa kuamua ni wakati gani ni sahihi kushika mimba ni mwanamke pekee yake. Mtu unamwambia mtumie kinga anasema ana allergy nazo, haya ukamwambia basi wewe utumie njia za uzazi amakataa baadae anaanza kutumia nusu shingo baadae mwanaume unaambiwa umepiga mimba mtu. Na hapo mtu unamwambia kuwa mbona mimi sipo vizuri kwa sasa usishike mimba ila yeye anashika mimba kisa tu yeye anataka. Ila kwa sababu mnakaza fuvu kuelewa endeleeni kukaza, ila hoja hapo sio kutelekeza.