National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,179
- 56,008
😅😅 duh kazi ipoo
Hili swala la single mother inabidi lijumuishwe kwenye KATIBA MPYA tuwaambie kabisa ndugu zetu ukioa single mother ukipigwa tukio usilalamike na ikitokea ukalalamika utakua umevunja sheria na utapekekwa jela miaka isiyopungua 20.maana watu wametoa ushuhuda wa kutosha humu kwenye jukwaa.Wasalaam JF,
Hakika Mungu wa wanaume amendelea kujiimarisha na kusambaza upendo wa kujitambua kwa akili na maarifa.
Wimbi la wanaume kukataa hadaa za ndoa kutoka kwa single mothers ni kubwa sana na linafurahisha sana.
Riporti za hivi karibuni kutoka redio mbao, hasa kwenye magroup ya mitandao na WhatsApp single mothers wanajadili namna ya kujinasua, wanamipango lukiki hasa ya kwenda kwa waganga tabora,, kigoma, gamboshi, sumbawanga.
Jihadhari pita nao njia zilezile usimzoee single mother mpaka ukajisahau.
Beware
Ni hayo tu.
Wadiz Baharia wenu
Kama vile jamii inavyokuwa na msukumo wa kutokubaliana na swala la binti kuolewa na mwanaume asie kuwa na kazi au kipato na kumwambia kuwa huyo hana hadhi ya kuwa mume wala mchumba wa mwanamke yoyote then nguvu hiyo hiyo itumike kukemea vijana waosogelea mabinti waliokwisha zaa nje ya ndoa.
Jamii inalegeza kamba kwenye uzembe wa mabinti na kusema wanastahili fadhila na huruma zetu wanaume ila huwezi kuta wanatumia utaratibu huo huo pale mabinti wanapokuwa wanakutana na wanaume ambao hawapo vema kimaisha.
Mafurushi makubwa kama wewe hapo single mother unayetegemea Child support kuwa shi mjini. This must choke you, no way.Eti mtego!!! Hivi wanaume wa kizazi hiki akili mmepeleka wapi?
Mafurushi makubwa.
UTAPELI, Kataa NdoaNDOA NI ..............
Wacha bwana!!Mafurushi makubwa kama wewe hapo single mother unayetegemea Child support kuwa shi mjini. This must choke you, no way.
Just feel the pain, useless girl.Wacha bwana!!
Jipige kifua sasa useme "mimi ni furushi kubwa." Hongera sana.
Pole sana dogo.Just feel the pain, useless girl.
Kafundishe mwanao, unataka umfundishe nani na ukilaza wako. Mabingwa wa feminism propaganda. Ukipata support kidogo ya hawa wanawake wenye uume unajiona smart. The real man can not entertain bogus feminism neither effemination.Pole sana dogo.
Hata kama ulipewa malezi mabovu, usijali dunia tutakufunza tu.
Dogo pole sana, tafuta tiba mapema.Kafundishe mwanao, unataka umfundishe nani na ukilaza wako. Mabingwa wa feminism propaganda. Ukipata support kidogo ya hawa wanawake wenye uume unajiona smart. The real man can not entertain bogus feminism neither effemination.
Labda wewe nije nikupe. You are too cheap, that's the reason.Dogo pole sana, tafuta tiba mapema.