Nipo kwenye mahusiano na single mother mwenyewe watoto watatu na mimi bado Sina mtoto nikimwambia kuhusu watoto wake waende kwa baba yao ataki na anasema ataki kusikia Habari hizo kuhusu watoto waende kwa baba yao.nifanyaje
 
Nipo kwenye mahusiano na single mother mwenyewe watoto watatu na mimi bado Sina mtoto nikimwambia kuhusu watoto wake waende kwa baba yao ataki na anasema ataki kusikia Habari hizo kuhusu watoto waende kwa baba yao.nifanyaje

Imekuwaje kwanza ukakubali kuwa mtu ana watoto watatu? Huyo ni mama wa familia jomba, acha kujipa majukum yasiyo yako
 
Kwanini unataka watoto wapelekwe Kwa baba yao?wanakuzuia nini?kama Unaona ni kero kwako kwanini usiachane nae?na kama unahisi kuwa watarudiana na baba watoto wake kisa mama yuko na watoto kwanini usimpige chini ukatafuta asiye na mtoto ili uishi maisha yasiyo na wasiwasi?
 
A
Single maza kamwe hawezikukupenda wewe Ila amefwata matumizi ya mtoto tuu nasingle maza hata ukimpaa buku anakutunuku kipochii haijalishi kaolewa tena au laa nahuoga wanajua kuektii kuliaa ili wakuaminishe kua anakupenda, hawa watuu niwakuchakata nakukimbia tuu usizubutuu kuishi nae nakama uponaendani sahivi fukuzaa muda huu unapomaliza kusoma huu ujumbee niwajanjaa mnooo hawanaga upendoo kamwe weniamini Mimi utakuja kunishukuruu siku moja, wechukua pigamzigo fukuzaa akamtafte baba wamtoto usijitwishe majukum nawengii huoga nimalay... Wazoefuu Wachini chinii
Asante mjomba ndio maana nikaja huku ili nipate ushauri sahihi sasa unayo niambia ni ukweli mtupu anayo juhudi Sana kila wakat sms au kupiga simu yaaan hata nikimpa buku la vocha anashukuru mpaka nashangaa sasa Jana kuna kitu kili nifikirisha Sana ndicho kilichonifanya nije huku Asante Sana
 
Mkuu siyo single mom wote! Wapo ambao ni wazuri kwenye ndoa ili mradi upende watoto wake! Wapo single mom waliobakwa wakajikuta wamekuwa single mom! Wapo waliofiwa na waume zao kingali wana umri wa kuzaa!
Kutokana na changamoto alizopitia kimaisha single mom wa jinsi hiyo akipata mtu wa kumwoa anatulia na anajali.
Kwa hiyo tusiwakatishe tamaa, nao ni watu kabisa ambao wanastahili haki kama hizo za kupata wenzi wengine!
Wanaobakwa hupewa dawa ya kutoa mimba, hupewa ya kuondoa uwezekano wa kupata ukimwi PEP
 
Sio kosa mwanaume kuoa single mom....tatizo akili zenu zafikiria bikira tu....sifa kubwa za mwanamke ni kuwa na upendo wa dhati,mwenye tabia njema,mwenye huruma,mchamungu,mwenye busara...sasa kama mwanamke single mom anazo hizo kwanini nisimuoe? DONT JUDGE A BOOK BY ITS COVERS

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke tokea lini akawa na upendo wa dhati
 
Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Polesana
 
Kuna Jamaa alianzisha Uzi anasema Kuna binti kalelewa na Baba WA kambo tangu akiwa na miaka miwili. Baba WA kambo kamsomesha mpaka chuo kikuu . Binti kamaliza chuo kapata kazi na mchumba.

Siku ya harusi: Baba WA Bwana Harusi karibu utoe Neno Kwa Bibi harusi. Binti kamkaribisha Baba ake mzazi
Haaaa
 
Back
Top Bottom