Habari Wakuu

Kumekuwa na uzi nyingi kuhusu single maza wapo ambao wanawatetea na wengine wanawaponda. Mimi ni mmoja Kati ya waanga wa single maza kiukweli ni mtihani mgumu kudumu nao na hii imechangiwa na wao kuwa na akili fupi kwa asilimia kubwa labda mtu alizaa nae awe amekufa, ngoja niwape kilichonikuta.

Ndugu zangu nilimpenda mdada mmoja herufi yake inaanzia J Tena nilimkuta ana mimba ina miezi mi3 na niliona siku nimekutana nae kwenye meet tukaa chini ndio akanieleza na kuniambia huyo mtu aliyempa mimba ameikacha na ameamua kumove on ananionesha hadi message za mazungumzo yao yakionesha kweli mdadda kamove on, na sometimes aliniomba niongee na huyo aliyemzalisha baada ya kuona anamsumbua ili asimfuatilie kabisa.

Baada ya kunithibitishia wameachana nikaona niwe nae kwenye mahusiano na kiukweli nilimsaidia mpaka anajifungua na mahusiano yetu yalikuwa ya moto nikaona kabisa hapa nimepata mtu by the way mimi kwenye maisha yangu yote sijawahi kuwa na mahusiano mawili kwa wakati mmoja yeye alikuwa pekee ndugu nilitoa sana kwake kuanzia muda mpaka kifedha na yeye alinipa mapenzi yakutosha Sana.

Baada ya kupita muda kidogo hapo akiwa tayari ameshajifungua mtoto ana miezi mi4 manzi nikawa si muelewi kabisa na nikaona kuna mabadiliko nayaona kwanza akawa hanitafuti, nikimpigia simu zangu hapokei, na kuanza uswahili wa mambo mengine.

Siku moja nilimpigia simu nikashangaa kapokea mzazi mwenzake jibu alinipa ni kuwa nipo na mama watoto amelala acha kusumbua watu mkuu ilinikera Sana ile kauli nikakata simu wakati huyu manzi aliniambia ameenda kwenye msiba wa ndugu yake kumbe yupo ghetto la mzazi mwenzake. Imepita muda mchache nikakuta nimetumiwa picha mzazi mwenzake yupo na huyo manzi wangu wakipigana mabusu nilijua kabisa aliyotuma hivyo ni yule mzazi mwenzake nikama vile anatafuta bifu na mimi maana number ilikuwa ngeni kwangu na picha nyingine alimpiga akiwa uchi kalala kiupande nadhani ilipigwa bila yeye ( manzi ) kujua maana alikuwa amelala ndugu zangu sikuwahi kuwa kwenye maumivu kama yale kwenye mapenzi aisee kumbuka hapo sijafanya nae mapenzi maana nilimpa muda arecover hali yake ndio niombe mechi

NB: imagine demu nimemvumilia akiwa ana mimba na kipindi chote hicho sikuwa na manzi mwingine au kufanya mapenzi na mtu mwingine alafu the end of the day anakupiga na kitu kizito kiasi hicho
Ubwege ulifanya, ungechapa unatembea
 
Sio mbaya kuwa nao, ila ili kuwatengenesha kabisa na baba Mtoto wake Jitahidi ufanye hili..

Marufuku mkeo kuongea na baba mtoto wake, mnunulie simu house girl baba mtoto akitaka kujua hali ya mtoto wake ampigie house girl, hiyo inaenda sambamba na akitaka kumuona mtoto wake wewe isikuletwe usumbufu wowote, house girl ampeleke huyo mtoto kwa baba yake, kama ni stend sjui guest au hotel aende house girl.

Ni Marufuku mkeo kukutana na baba wa mtoto kwasababu yoyote ile..

Ukiona hataki hilo.. PIGA CHINI OA ASIYEZAA, MUANZE WOTE 0-0


Otherwise utachapiwa tu.
Kwa hio unauhakika hawatawasiliana na mke wako???
 
Wewe unauhakika gani mama yako sio single mama!! Inawezekana huyo unayemuita Baba sio baba yako mzazi ila amesingiziwa mimba na mama yako hivyo nawe upo kwenye grp la mtoto kutoka kwa single mama....kabla ya kuandika kaa na ujifikirie mara kadhaa je wewe sio Mhenga kutoka kwa single mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Comment za hovyo kabisa. Kwamba mama alifanya upuuzi wakati fulani iwe justification ya kuendeleza upuuzi huo?
 
Waswahili wanasema huwezi zuia mafuriko kwa mikono, kama huyo single madha aliachana na mpenzi wake kwa kigezo chochote nje na mgogoro wa kimapenzi jua tu at some point watafanya yao tu. Japo si wanawake wote wenye akili za kijinga.

Ishu kama kuachana kwa sababu ya ugumu wa maisha, Baba mtoto akishaimarika kiuchumi lazima muwe mnashea mke kinamna flani!

Nina shemeji yangu ambaye ye ameamua ku control hio situation kwa kuwa ana meet na jamaa anytime ambapo atakuwa anahitaji kumuona mtoto na huwa anampeleka yeye personally so sister hana nafasi ya kuonana na mzazi mwenzie. Nadhani ndio option nzuri zaidi
Sasa matatizo yote haya ya nini mwanamume unajitesa duu.
 
Mkuu siyo single mom wote! Wapo ambao ni wazuri kwenye ndoa ili mradi upende watoto wake! Wapo single mom waliobakwa wakajikuta wamekuwa single mom! Wapo waliofiwa na waume zao kingali wana umri wa kuzaa!
Kutokana na changamoto alizopitia kimaisha single mom wa jinsi hiyo akipata mtu wa kumwoa anatulia na anajali.
Kwa hiyo tusiwakatishe tamaa, nao ni watu kabisa ambao wanastahili haki kama hizo za kupata wenzi wengine!
 
Tulia, fuata moyo wako na endelea. Ndugu siku zote huangalia upande wao siyo matakwa yako. Wewe kama mnapendana na ameisharidhia basi achana na matakwa ya ndugu. Ila usimfiche wasi wasi wako ili kesho na kesho kutwa yakikukuta ajue ulimweleza. Mme wangu namzidi miaka mitatu pia na tuna watoto wanne mmoja akiwa huyo aliyenikuta naye na wote wana kazi isipokuwa mmoja anachukua Masters na wote ni graduates na tunapendana kama kwamba tumeoana jana.
Nyie ni wa zamani sio wa sasa
 
Mwanaume kuoa single maza ilhalii kuna ambaoo hawajachuja wapo wengii niupumbav wa makusudi nakutokujielewa
 
Single maza kamwe hawezikukupenda wewe Ila amefwata matumizi ya mtoto tuu nasingle maza hata ukimpaa buku anakutunuku kipochii haijalishi kaolewa tena au laa nahuoga wanajua kuektii kuliaa ili wakuaminishe kua anakupenda, hawa watuu niwakuchakata nakukimbia tuu usizubutuu kuishi nae nakama uponaendani sahivi fukuzaa muda huu unapomaliza kusoma huu ujumbee niwajanjaa mnooo hawanaga upendoo kamwe weniamini Mimi utakuja kunishukuruu siku moja, wechukua pigamzigo fukuzaa akamtafte baba wamtoto usijitwishe majukum nawengii huoga nimalay... Wazoefuu Wachini chinii
 
Back
Top Bottom