Nahisi Kikwete na EDO wana mkakati wa siri au wa wazi ili huyu bwana awe Rais ajaye. wamatoka uwanja wa uhuru fasta fasta na kukimbilia kipindi hiki maalum
kipindi hakikuwa live mdau, it was a recorded programme, kuwa makini.
Nahisi Kikwete na EDO wana mkakati wa siri au wa wazi ili huyu bwana awe Rais ajaye. wamatoka uwanja wa uhuru fasta fasta na kukimbilia kipindi hiki maalum
Anasema sio yeye bali alijiuzuru ili kulinda serikali ya kifisadi na chama chake cha mafisadi visianguke viendelee kutushughulikia. Kama alishindwa kutoa uamuzi mgumu kutuokoa watanzania na chama na serikali la kifisadi unategemea vipi tumuamini. Alikuwa na bado ana nafasi nzuri kufanya maamuzi magumu sasa kwa kutusaidia kutoa ushahidi wa nani hasa matapeli wa Richmond/Dowans ili tuwashitaki tuwafunge kama yeye kweli si mmoja wao.guys labda nina mtzamo tofauti kwangu mimi EL ndo rais safi 2015 kama 2nataka maendeleo na tamati la ufisadi. Nasema kwa kuwa EL hana aibu na anaweza kuwashkisha adabu mafisadi na watendaji wabovu vile vile kwa kuwa anakashfa ya ufisadi na kama mnavyojua EL anapenda sifa so atataka kuwaonyesha watanzania kuwa alipakaziwa kama anavyodai daily, pia kijana ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu ambayo JK hawezi
Sijawahi kupigia kura CCM.Hata hivyo ikiwa hao wanaochagua CCM wanadhani wataendelea kutawala nchi kwa sasa basi Lowasa ni bora kuliko takataka nyingine zinazofukuzia Urais kwa sasa ndani ya CCM
I dont thnk if wat ur just sayin are true bcoz in Tz I believe Lowasa is among the good leader we over had b4.
Wewe mpaka sasa CCM wanaotumainiwa na wanachi ni Dr. Salim na magufuli full...othe other hand CDM ni Slaa tuu...wengine wananchi wameshawaona waganga njaa tuu/
guys labda nina mtzamo tofauti kwangu mimi EL ndo rais safi 2015 kama 2nataka maendeleo na tamati la ufisadi. Nasema kwa kuwa EL hana aibu na anaweza kuwashkisha adabu mafisadi na watendaji wabovu vile vile kwa kuwa anakashfa ya ufisadi na kama mnavyojua EL anapenda sifa so atataka kuwaonyesha watanzania kuwa alipakaziwa kama anavyodai daily, pia kijana ana uwezo wa kufanya maamuzi magumu ambayo JK hawezi
nahisi mimi sikustahili kuzaliwa nchi hii kwa kweli
siasa za nchi hii zitanipa cancer au ugonjwa wa moyo.....
Mimi nakushauri uwe unatumia kiswahili kama maneno ya kingereza yanakusumbua.Lazima ujifunze kutofautisha kati ya neno 'sucked' na 'sacked'
was sucked =alinyonywa/alifyonzwa
was sacked =alifukuzwa kazi
Kwa hiyo EL was not sucked.NI hayo tuu..be careful Kabembe
Ni kweli uyasemayo, lakini naomba tumshauri Dr. Slaa awe na ustaarabu wa "kufunga zipu" maana UKIMWI unasababisha kifo.
Nyie msitudanganye hata kidogo. Huu ni mkakati wa mh L kutwaaa uraisi na huu ndio mwanzo wake kujitokeza hadharani