Kuna uhusiano gani kati ya Lowassa na TBC?

Wakati tukielekea katika kumbukumbu ya kifo cha kipenzi cha watanzania wengi hayati Edward Moringe Sokoine naona mheshimiwa Lowasa yumo akimwelezea marehemu alivyokuwa

1. Kuna umuhimu wa Lowasa kuwemo? Hakuna viongozi wasafi wanaoweza kumsemea huyu mpendwa wetu?
2. Hilo tangazo nani analilipia? Kama ni serikali kwa nini atumie pesa ya walipa kodi kujisafisha?

Kwangu mi naona ni sawa na kuchanganya biskuti na matofali na kuweka ndani ya boksi.

Mbona Lowassa apewe nafasi ya kumsemea kiumbe wa watu ambaye hakuwahi kufikiria watanzania wanahitaji kuibiwa?

Kwanini TBC1 wanaonekana kumpa coverage kubwa Lowassa?

director wa TBC anakuwa appointed na nani? is it possible kwa yeye kufanya kitu kinyume na bosi wake, ili hali wanajua kuwa Mhando alifukuzwa TBC kwa makosa ambayo CCM hawakuyataka?

guys think! you are wasting time to discuss about EL....na mko kimya kwa Kikwete kuzungumzia lami!!!!

poor tanganyikan....

ccm watawachezea hivi hivi
 
QWQEWPOIURL
Matawi, tukimchukia kiongozi, tumchukie kwa mabaya/ufisadi wake lakini tusiwe na chuki binafsi dhidi yake. Kwa vile EL kachafuka na uchafu wa Richmonduli, sasa ndio imekuwa nongwa?!. Asifanye chochote kwavile ni mchafu hivyo atachafua?!.

Japo mimi sio mtetezi wa EL, ukimuondoa Sokoine, hatujawahi kumpata waziri mkuu mwingine yoyote anayemkaribia hata kwa mbali, lakini kati ya wote, angalau angalau ni EL tuu, sasa ulitaka nani amzungumzie Moringe?!.

Mambo ya EL siku zote nasisitiza 'Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni'!.
Naomba tuheshimiane, Siyo Lowassa ninaye mfahamu wakusema eti mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ninani asiyejua kuwa ugumu wa maisha ya wanyonge kwa zaidi ya 50% ameyasababisha lowassa? how comes leo aseme hivyo na wewe bila kufikiri unakurupuka na kumshabikia, we mtoto wake?
 
Matawi, tukimchukia kiongozi, tumchukie kwa mabaya/ufisadi wake lakini tusiwe na chuki binafsi dhidi yake. Kwa vile EL kachafuka na uchafu wa Richmonduli, sasa ndio imekuwa nongwa?!. Asifanye chochote kwavile ni mchafu hivyo atachafua?!.

Japo mimi sio mtetezi wa EL, ukimuondoa Sokoine, hatujawahi kumpata waziri mkuu mwingine yoyote anayemkaribia hata kwa mbali, lakini kati ya wote, angalau angalau ni EL tuu, sasa ulitaka nani amzungumzie Moringe?!.

Mambo ya EL siku zote nasisitiza 'Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni'!.
Ww sio ndo walewale wanahabari makanjanja na njaa kali..mmeshanunuliwa!
 
EL ana uzuri na ubaya wake, kwangu mimi bado namjaji uzuri ku over weigh huo ubaya alioufanya au kudhaniwa. hivi ukiulizwa utaje makosa mawili relative na viongozi wengine kwa nini unamhukumu EL utayataja?
Waziri mkuu na au Rais anatakiwa awe akitoa uamuzi utekelezwe, au mtu amabye wa chini yake anamuheshimu na kutekeleza agizo lake right away. awe anauweza wa kuingia field na kukagua kazi, imeenda mrama uamuzi wa awali palepale.
naungana na baadhi ya wadau wanaomsupport EL kama yeye. Pinda ni mwadilifu, muungwana na mchapa kazi, ila pamoja na hayo bado hana ile action ya uaziri mkuu. Mifano michache EL alithubutu akatimua city water, akaona trafic jam dar akaamuru barabara 3 kama hatua ya haraka (Angekuwepo mungeona magufuli amewezeshwa na barabara za ghorofa!, akahamasisha shule za kata, zikajengwa kwa haraka, pamoja na mapungufu yake ila shule zinasaidia, anagekuwepo madarakani uboreshwaji ungekuwa sio kama inavyosuasua!
EL ni Entrepreneur na kajikita zaidi hapa hapa Tz tofauti na vijecent wengine wanaopeleka maulaya!, hata udobi yeye anafanya tu na wa TZ wanapata ajira, hapo mi bado nampa heko.

Tunahitaji mtu atakayesema Jairo hakuna kazi bila kusubiri uamuzi wa raisi au tume, Tz ya leo inatakiwa kiongozi atakayeleta hadhi ya rais au waziri mkuu amesema! then actions.
Kwa upande wa magamba, binafsi yangu, Tanzania ilipo sasa, tunahitaji rais wa aina ya EL, na au Magufuli, Sitta bado anaweza akawa mpole.
Kwa topic hii, bado nasema Mnyonge tumnyonge na wakati huo haki tumpe.
(Kuna kipindi nilimchukia sana, ila baada ya kupima nimeona tutoe haki, hata kama ni nguvu za nabii Joshua, basi maoni yangu ni hayo)

umejenga hoja vizuri mkuu..umenishawishi.
 
QWQEWPOIURL
Naomba tuheshimiane, Siyo Lowassa ninaye mfahamu wakusema eti mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ninani asiyejua kuwa ugumu wa maisha ya wanyonge kwa zaidi ya 50% ameyasababisha lowassa? how comes leo aseme hivyo na wewe bila kufikiri unakurupuka na kumshabikia, we mtoto wake?

Embu jenga hoja bosi wangu ushawishi wana-JF.vinginevyo huu utakuwa si kitu zaidi ya upayukaji tu.

Kama mtanzania,nimejifunza kuwa wengi wetu tumekuwa na tabia ya kudakia tu mambo na kuyafanyia conclusion bila kufanya uchunguzi wa kina.Mfano,wakati EL alipojiuzulu,karibu watanzania wote,bila kujali kuchunguza kwanza kwa undani juu ya uhusika wake,walimbatiza jina la fisadi.Kwa kipindi chote hiki mimi nimeishi nikiwa ni katikati,kati ya kumlaumu na kutomlaumu maana sijapata kitu tangible kinachomshikisha moja kwa moja kwenye kuingia ile deal ya richmond.

Mfano mwingine wa jinsi wengi wetu tunavyochukulia mambo kwa pupa,tukiongozwa na emotions ni jinsi wengi wetu tulivyobadilika ghafla mtazamo wetu juu ya EL mara baada ya kujulikana aliyoyasema kwenye mkutano wa CCM huko dodoma.hii inaonesha dhahiri hatuchimbi vya kutosha tukajua mambo kwa undani kabla ya kutoa hukumu.

Linalomtokea lowassa linaweza kukutokea hata wewe kwenye nafasi yako uliyonayo kwenye jamii,ama kazini kwako..yaani watu kukujengea hukumu ya ghafla bila substantial underlying facts.

Mungu atupe hekima.
 
labda nadhani sababu ni kwamba lowassa kwao ni karibu na marehemu sokoine kule monduli..sijaona sababu nyingine (mtazamo wangu)
 
Hata kama akifanyaje keshatia doa la damu nguo yake nyeupe wala watanzania hawasahau ng'o. Ingekuwa kipindi kile cha ....Naapa naahidi mbele ya chama mapinduzi nitakurinda mpaka kufaaaaaaaa! hapo tungekuwa na wasiwasi.

Lakini kwa sasa wala hatuna lolote mwacheni atangaze mazuri ya Sokoine maana hata watu wakimwona pale watakuwa encouraged kuangalia maana wanamjua kuwa ni mwizi.....kuliko kama angetumia mkuu wa mkoa fulani watu wangeona poa tu na kulipotezea hilo Tangazo ila umaarufu wake wa wizi kidogo unaamsha attention ya mtu kutaka kujua huyu mwizi leo anaongea nini

Lowassa anajua udhaifu wa mfumo wa kisiasa na utawala tz, ndiyo maana anapigania kupitishwa na CCM na anajua akipita tu hapo hamna wa kumzuia...vita yake kuu ni hii ya ndani akishinda hii njia nyeupe 2015..sasa mnapojidanganya eti mtamuadhibu na kura au watz wanajua amechafuka hamna cha kufanya kingine..tume ya uchaguzi imeshatenga kura millioni kadhaa za mgombea wa CCM kura zenu zitamata kidogo sana.
 
Embu jenga hoja bosi wangu ushawishi wana-JF.vinginevyo huu utakuwa si kitu zaidi ya upayukaji tu.

Kama mtanzania,nimejifunza kuwa wengi wetu tumekuwa na tabia ya kudakia tu mambo na kuyafanyia conclusion bila kufanya uchunguzi wa kina.Mfano,wakati EL alipojiuzulu,karibu watanzania wote,bila kujali kuchunguza kwanza kwa undani juu ya uhusika wake,walimbatiza jina la fisadi.Kwa kipindi chote hiki mimi nimeishi nikiwa ni katikati,kati ya kumlaumu na kutomlaumu maana sijapata kitu tangible kinachomshikisha moja kwa moja kwenye kuingia ile deal ya richmond.

Mfano mwingine wa jinsi wengi wetu tunavyochukulia mambo kwa pupa,tukiongozwa na emotions ni jinsi wengi wetu tulivyobadilika ghafla mtazamo wetu juu ya EL mara baada ya kujulikana aliyoyasema kwenye mkutano wa CCM huko dodoma.hii inaonesha dhahiri hatuchimbi vya kutosha tukajua mambo kwa undani kabla ya kutoa hukumu.

Linalomtokea lowassa linaweza kukutokea hata wewe kwenye nafasi yako uliyonayo kwenye jamii,ama kazini kwako..yaani watu kukujengea hukumu ya ghafla bila substantial underlying facts.

Mungu atupe hekima.

hata lowasa hakuwa na hekima kwa nini alijiuzulu ghafla bila kujitetea, kumbuka alivyosema wakati anajiuzulu
 
QWQEWPOIURL
Naomba tuheshimiane, Siyo Lowassa ninaye mfahamu wakusema eti mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ninani asiyejua kuwa ugumu wa maisha ya wanyonge kwa zaidi ya 50% ameyasababisha lowassa? how comes leo aseme hivyo na wewe bila kufikiri unakurupuka na kumshabikia, we mtoto wake?

Nakubaliana na wewe mkuu, Lowasa ndo amesababisha nchi hii ikawa ya tatu kwa kuomba omba, Lowasa ndo kauza mashirika ya Umma, Lowassa ndo kaua ATC, Lowassa ndo anasababisha ukame, Elimu mbovu, Lowasa aliagiza Jeshi la police liue waandamanaji Arusha, Lowassa.....
 
Waongo nyie wapiga debe mlituongopea Igunga ni paradiso mbona hatukukuta chochote leo unatwambia barabara wakati ni ile iendayo Karatu na Ngorongoro tu nyingine iko wapi? Kilamwaka tunaona Mengi akiwasomesha wasichana wa kimasai wamonduli utafikiri hakuna mbunge huko halafu mnaleta umbeya hapa. wenye bei ni nyie tu sisi hatununuliwi na fisadi ng'o
aa watu wameona mazuri yake,,kwanza nenda monduli kule uone barabara..yapo mengi usiangalie mabaya ya mtu na mazuri yapo
 
Matawi, tukimchukia kiongozi, tumchukie kwa mabaya/ufisadi wake lakini tusiwe na chuki binafsi dhidi yake. Kwa vile EL kachafuka na uchafu wa Richmonduli, sasa ndio imekuwa nongwa?!. Asifanye chochote kwavile ni mchafu hivyo atachafua?!.

Japo mimi sio mtetezi wa EL, ukimuondoa Sokoine, hatujawahi kumpata waziri mkuu mwingine yoyote anayemkaribia hata kwa mbali, lakini kati ya wote, angalau angalau ni EL tuu, sasa ulitaka nani amzungumzie Moringe?!.

Mambo ya EL siku zote nasisitiza 'Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni'!.



hapo kwenye red naungana na wewe bora mwizi wa nje anaeleta ndani na mwajibikaji kuliko mwizi wa ndani anaepeleka njee na sio mwajibikaji...nadhani kwenye top 3 ya mawaziri wakuu wa tz EL Yupo....tusiweke chuki ifike mahali tuweke uzalendo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom