Kuna msichana yeyote wa JF Arusha?

Huyu Jamaa hayuko serious.... Yani ukaribishwe tu kwa mtu tena mtoto wa kike, bila kukufahamu wewe ni nani? Ndiyo maana hujapata PM hata moja.... Karibu usisahau mwamvuli ukifika...
 
nina ndugu yangu (single)wa kike maeneo ya sinoni, bahati mbaya siyo member wa jf ukitaka nitamjulisha akupokee
 
Anajizungusha weeeeeeeee wakati shida yake iko wazi si useme tu unahitaji tulizo la moyo AR utazunguuuuuuuuuuuuuuka sana bila kuwa muwazi kazi ni bure.
 
Ukifika Moshi mchukue mtoto wa Kichaga,wanaijua sana Arusha na wanaujua sana utalii.
 
ngoja nikutafutie yule mama aliyempa dozi mc mrema mpaka akachemka naona atakufaa,tukusahau hapa.
 
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.

HII NI KIBIAHSARA ZAIDI....samahani kama nimekukwaza

 
Kwani lazima awe JF Member? wewe fika AR, nenda Ken Garden, Shivas au Mrina, kuna kila kitu pale. Angalie usije kutana na the Machames ukashindwa kurudi home uje hapa utuombe Nauli ya kurudi kwenu.
AR wako kibiashara zaidi, be carefully
 
Kwani lazima awe JF Member? wewe fika AR, nenda Ken Garden, Shivas au Mrina, kuna kila kitu pale. Angalie usije kutana na the Machames ukashindwa kurudi home uje hapa utuombe Nauli ya kurudi kwenu.
AR wako kibiashara zaidi, be carefully

hilo nalo neno
 
Hilo jina lako mama Du. Linatisha .Au wewe dume unatufuta demu kirahisi vile? Na kama jina ndio hilo hizo RRRRRRRRRRRRRR za akina Mura umezitoa wapi ?
 
ngoja nikutafutie yule mama aliyempa dozi mc mrema mpaka akachemka naona atakufaa,tukusahau hapa.

Kuna watu wanaroho mbaya hapa JF
icon9.gif
 
Jamani hodi huku ndani,


Hahahaaaaa!!!!!

Jamani, makubwa hayo,

Kwanini rafiki unataka tu kufikia kwa msichana? Tafuta dume lenzio bwana. Sisi wenyeji wa Ar tupo tutakupokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom