babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,021
mmh wewe!karibu tunafiki afreezing point
blanket chapa mtu tu ndo litafaa kwa hii weather
mmh wewe!karibu tunafiki afreezing point
blanket chapa mtu tu ndo litafaa kwa hii weather
he he heee,mpeni darasa mwenzenu.mbado sana hapa!kazi ipo
Kupokelewa tu naanionyeshe mji na kufahamiana zaidi.
sasa tumejua LENGO lako haswa....aya biashara ishajitangaza subiri wateja AR kama watajitokeza...hujatulia wewe
mmh wewe!
kanda ya ziwa iyo...ni lugha tu ujumbe umefika
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.
Kwani lazima awe JF Member? wewe fika AR, nenda Ken Garden, Shivas au Mrina, kuna kila kitu pale. Angalie usije kutana na the Machames ukashindwa kurudi home uje hapa utuombe Nauli ya kurudi kwenu.
AR wako kibiashara zaidi, be carefully
ngoja nikutafutie yule mama aliyempa dozi mc mrema mpaka akachemka naona atakufaa,tukusahau hapa.
Huyu jamaa simuelewi anachomaanisha, anatafuta msichana ili afikia kwake!!!!!!!!!!!!!!!.jamani watu mna mambo na vijimambo kwanini msichana na si mvulana??
sasa unakasirika nini si umetangaza mwenyewe lakini?vipi humtaki huyo wa mc lema?sema tuuKuna watu wanaroho mbaya hapa JF