The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
@Nyie mnaolilia aya, kwani mnasoma aya ama maneno?
Story ya huyo bwana inahuzunisha, jamaa ni mtu mstaarabu sana, maana kama kaweza kumuhusisha mkewe na kumtaka radhi sidhani kama kuna busara na wema mkubwa kama huu.
Huyo Mwanamama ni kahaba material ambae possibly alijificha ila sasa kapata uwanja wa kufanya na kuyaonyesha yaliyomjaa
ni laana tena laana kubwa kwa bibi zee kama hilo kufanya umalaya hadharani tena kwa mtu aliekuepushia kifo, maana kumwambia kabla hajamuathirisha ni upendo mkubwa sana aliouonyesha huyo bwana
Story ya huyo bwana inahuzunisha, jamaa ni mtu mstaarabu sana, maana kama kaweza kumuhusisha mkewe na kumtaka radhi sidhani kama kuna busara na wema mkubwa kama huu.
Huyo Mwanamama ni kahaba material ambae possibly alijificha ila sasa kapata uwanja wa kufanya na kuyaonyesha yaliyomjaa
ni laana tena laana kubwa kwa bibi zee kama hilo kufanya umalaya hadharani tena kwa mtu aliekuepushia kifo, maana kumwambia kabla hajamuathirisha ni upendo mkubwa sana aliouonyesha huyo bwana