Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we m@@2#nge
Huyo mtoa mada karogwa? Ukiona mijitu sampuli hiyo ifuatilie utagundua si raia anatafuta sifa ili apewe uraia kirahisi.Unamuombea jk afya njema wakati imeshayumba?Wewe huna akili muulize huyu rais wako kama analala na mke wake!
Aache kuanguka hovyo majukwaani, mwambie apunguze ngono maana afya yake mgogoro.
Vilevile apunguze safari za nje kwenda kubadilisha damu kwa kodi za watanzania.
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) , kinacho fuatia sasa ni kuchagua baraza makini la mawaziri. Na kwa vile mpaka sasa CCM ina jumla ya wabunge 186 wa kuchaguliwa ( ukiacha wale wa viti maalum) itakuwa na hazina kubwa ya kuchagua baraza bora. Tunamuombea Rais wetu afya njema aweze kulitumikia Taifa, kwani ridhaa aliyopewa na watanzania ya ushindi wa kishindo wa 61.17% (wengine wanauita USHINDI WA SUNAMI). Uchaguzi umekwisha, tusonge mbele na tugange yajayo.
ushindi wa kuiba kura za slaa,ushindi wa kuingia madarakani kutafuna mali ya uamma