cc MziziMkavuNdugu zangu aidha ni ugonjwa au laah, lakin inanikosesha raha kwani mpenzi wangu kila muda wa kulala huwa anakoroma sana hadi kero, kwa Wanaofahamu dawa naomba mnifahamishe.
Ndugu zangu aidha ni ugonjwa au laah, lakin inanikosesha raha kwani mpenzi wangu kila muda wa kulala huwa anakoroma sana hadi kero, kwa Wanaofahamu dawa naomba mnifahamishe.
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyumaAisee hili tatizo hata mimi ninalo
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma
na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma. Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea mtu hadi mtu.Mkuu.@tutuza na ndugu Captain Phillip
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma
na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma. Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea mtu hadi mtu.Mkuu.@tutuza na ndugu Captain Phillip
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma
na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma. Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea mtu hadi mtu. Tumia hiyo dawa yangu kisha uje hapa utupe feedback Mkuu.@RUGE12
Toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma.Unapoutoa ulimi nje,unauacha nje kwa muda gani ndipo unarudisha ndani?
Unapoutoa ulimi nje,unauacha nje kwa muda gani ndipo unarudisha ndani?
TIBA YA MBADALA YA KUACHA KUKOROMAHabari wapendwa nilikuwa naomba mnisaidie dawa/tiba ya kuacha kukoroma