Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

Kwanza yafaa uelewe kuwa kukoroma c ugonjwa bali ni aina ya ulalaji mbaya kwa maana ya kukunja shingo na kuminya njia ya hewa. cku ukilala na mtu anayekoroma, jaribu kuinua shingo yake taratibu awe kama anaangalia juu! kisha rudi hapa unipe jibu.
 
Tafuta mtu akuite jina ambalo si la kwako. Mfano kama unaitwa John, ukianza kukoroma tu mwambie akuite jina lolote ambalo si lako mfano Masoud ukiitika tu ujue umepona.
 
nilishndwana na ex wangu flani kwa tatizo hli ila yeye alikuwa ana lewa sana,nikahc labda pombe yaweza kuwa chanzo,kama unakunywa embu acha
 
Usithubutu kutembelea mikumi,simba lazima wajiulize '' huyu ni nani tena analia kama sisi?'' kitakachofuata hapo......
 
Inawezekana ikawa inene kwa wengine unaobana mpaka koo anapolala kama kawaida lazima akolome. Kunawengine ni maumbile kua na kasoro anapokua amelala au kijosahau koo la hewa linakua kama limebanwa hivi.kuna wengine matonsiz vidonda vya koo vinasababishaga makovu yanayoingiliana na mfumo wa hewa au in matonsi yaliyovimba. Wengine Wanatatizo la njia za pua kubana eidha kwa nyamanyama kuota au ute mwingi kujengeka mala kwaala kwenye njia ya pua. Sasa nini kifanyike. Mtafute mtahalamu wa E.N.T akufanyie uchunguzi kama hauna tatizo la kimfumfo basi itakua over weight.note niliyo yaongea hapa si kama mtahalamu bali ni kwa uzoefu wa lulazwa na kupasuriwa kun'goa matonsi kwa zaidi ya mwezi ma siku zake na kuchonga pua .ilinisaidia nikaacha kukoloma sasa ninakola lakini ni unene kwa sasaivi na nikilala kwa ubavu kunakua na nafuu.
 
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje

mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma


na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma.

Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea

mtu hadi mtu.Mkuu.
@
Devil's Driver Ukipona uje utupe Feedback

Asante kwa ushauri,nitaufanyia kazi na natawajulisha matokeo.
 
Yapata miaka 3 sasa tangu tatizo la kukoroma kuzidi kukuwa na Kuwa kero Mara nikiwa popote pale na hasa ugenini. Wana JF acheni utani mnisaidie mwenzeni sina raha Mie.
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma

na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma. Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea mtu hadi mtu.Mkuu.@jnrs Chanzo.[h=1]ni nini dawa ya kuacha kukoroma[/h]
 
Ni uongo. Mwanangu si mnene ila anakoroma si kawaida.
Kwa watoto mara nyingi husababishwa na tezi za aina mbili inaweza kuwa(tonsil) na (adenoid) hizi tezi huvimba pindi zinaposhambuliwa na wadudu kwa mfumo wa hewa na kisha kunywea pindi utumiapo dawa.lakini wakati mwingine hushindwa kunywea na kusababisha kupunguza njia ya hewa na hivyo mtoto hukoroma.hivyo basi mpeleke mtoto kwa Mganga wa koo amchunguze na kisha kama kuna umuhimu wa operation watawaambia
 
Kwa watoto mara nyingi husababishwa na tezi za aina mbili inaweza kuwa(tonsil) na (adenoid) hizi tezi huvimba pindi zinaposhambuliwa na wadudu kwa mfumo wa hewa na kisha kunywea pindi utumiapo dawa.lakini wakati mwingine hushindwa kunywea na kusababisha kupunguza njia ya hewa na hivyo mtoto hukoroma.hivyo basi mpeleke mtoto kwa Mganga wa koo amchunguze na kisha kama kuna umuhimu wa operation watawaambia



I nomonate you as mbunge wa JF asiye na posho. Shukrani.
 
Nawashukuru sana nyote kwa michango yenu kwa ujumla wana JF na ninaifanyia kazi na iwapo atatokea Yeyote mwenye njia mbadala basi asisite kunisaidia mwenzenu ili niishi maisha free na kukoroma.
 
habar wana jamii forum,kwa muda mrefu nina tatizo la kukoroma sana usiku ambako ni tofauti kabisa na kukoroma kwa kawaida baadh ya wenzangu husema nina unguruma,tukio hli limekua ni kelo na ninaomba ushauri au tiba ya kukabiliana na suala hili
 
habar wana jamii forum,kwa muda mrefu nina tatizo la kukoroma sana usiku ambako ni tofauti kabisa na kukoroma kwa kawaida baadh ya wenzangu husema nina unguruma,tukio hli limekua ni kelo na ninaomba ushauri au tiba ya kukabiliana na suala hili
Dawa ya kukoroma Fanya hivi: Fungua mdomo wako mpaka mwisho, toa ulimi na usukume nje mpaka mwisho,rudisha ulimi ndani mpaka mwisho-rudia mara 20. Ukimaliza utahisi kuna misuli nyuma

na pembeni ya koo umeifanyisha kazi,sasa misuli hii ikilegea ndio inayosababisha kukoroma. Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa siku na tatizo hili litaisha baada ya siku 10-20 kutegemea mtu hadi mtu. Tumia hiyo dawa yangu kisha uje hapa utupe feedback Mkuu.@RUGE12
 
Si jambo geni kusikia mtu wako wa karibu au mwenza wako anapokuwa amelala kuwa na kawaida akikoroma au kuwa na mikwamo mikwamo ya milio isiyo ya kawaida akiwa katika usingizi mzito.

Iwapo utamtikisa au kumgusa hali hiyo hupotea kwa sekunde kadhaa na kama atapata tena usingizi mlio huo hujirudia tena.

Wengi wamekuwa wakijiuliza ni kipi husababisha hali ya kukoroma na wengine wamelichukulia kuwa ni suala la kimaumbile kama vile unene lakini sababu hasa wamekuwa hawaijui lakini kwa upande wa afya linaweza kuwa ni kiashiria cha tatizo la kiafya mwilini.

Tayari kuna tafiti za sayansi ya tiba zinaonyesha mahusiano makubwa ya magonjwa ya moyo na watu wanaokoroma au pingamizi la usingizi.

Watu wenye pingamizi la usingizi hasa watu wazima wameonyesha kuwa na dalili za magonjwa ya moyo.

Pingamizi la usingizi ni nini?

Pingamizi la upumuaji usingizini ni hali ya kushindwa kupumua kwa kutumia pua au mdomo kwa muda wa sekunde kumi.

Tatizo hili hutokea zaidi ya mara 30 katika hatua za vipindi viwili ambavyo kitaalamu hujulikana kama mjongeo wa kasi wa macho na mjongea wa kawaida wa macho.

Mjongeo wa kasi wa macho wakati wa usingizi ni kipindi kimojawapo cha usingizi wa kawaida ambacho huambatana na macho kucheza cheza yaani mtu anakuwa yupo usingizini huku macho yake yakicheza cheza.

Kwa kawaida wakati mtu amelala hupitia hatua hii mojawapo ya usingizi na hutokea mara nne hadi tano katika usingizi.

Hali hii huweza kutokea kwa muda mfupi na mwishowe kipindi hiki hukawia kwa muda mrefu hasa inapokaribia asubuhi. Inakisiwa kuwa mjongeo wa kasi wa macho huchukua asilimia 20-25 ya usingizi wa mtu mzima yaani dakika 90-120 kwa ujumla.

Katika hali ya mjongeo wa kawaida wa macho ni hatua ambayo mtu anakuwa amelala lakini hawezi kuchezesha macho, kuota ndoto ni nadra sana kwa wenye kupata hatua hii. Akili huwa katika hali njema kabisa viungo vya mwili wake kutolegea ndio maana mtu anaweza kutembea huku akiwa usingizini. (sleep walk)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom