Mbayo wa Giika
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 205
- 106
Wataalam naombeni mnijuze juu ya hili, hili tatizo husababishwa na nini? Nini utatuzi wake? Msaada tafadhali hili tatizo linasumbua sana hapa kwangu!
Ni tatizo kwenye mfumo wa upumuaji ambalo mara nyingi linasababishwa na kuwa na uzito mkubwa..
Tiba mojawapo ni kupunguza uzito wa mwili, mengine wataalamu wa afya watakuja kukusaidia zaidi mkuu.
Unajua angalau kidogo kuhusu BMI?
Unajua angalau kidogo kuhusu BMI?
Wewe una umri gani ? kukoroma ni kama ndevu. mwanaume asiye na ndevu hakoromi sawasawa na kina mama. Siku ukibalehe na ukaota ndevu na ww utakoroma
Kama kweli chumba kimoja mmelala wanaume 13 kwa usalama wako bure utoke nje.
Kama kweli chumba kimoja mmelala wanaume 13 kwa usalama wako bure utoke nje.
Hiyo kitu hata mimi ni balaa hasa nikinywa yale mambo yetu inakuwa shida zaidi.Wakuu nipo msibani tumelala matanga. Kwa kuwa hapa Iringa pana baridi kidogo, hivyo watu wote tumelala ndani.
Katika chumba cha wanaume nilicholala tupo watu 13. Karibu nusu ya hawa watu wanakoroma kiasi nimeshindwa kulala naperuzi JF. Ajabu kelele hizi za kukoroma sizisikii upande wa akinamama.
Nijuzeni kukoroma ni ugonjwa au ni tatizo la kimaumbile? Inakuaje mpaka mtu anakora? Kwa nini wanaume ndiyo wanaokoroma sana?
Tuchangie mawazo hawa ndugu zetu waepuke vipi tatizo hili kwani linakera na kufaisha.