MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Chunga tamaa mbaya.......Epuka tamaa mbaya!
Huwezi kuongea unafosi kuimba?:majani7::majani7::majani7:
Haya bora nitulie au nipige marimba
lol
Chunga tamaa mbaya.......Epuka tamaa mbaya!
Huwezi kuongea unafosi kuimba?:majani7::majani7::majani7:
Chunga tamaa mbaya.......Epuka tamaa mbaya!
Huwezi kuongea unafosi kuimba?:majani7::majani7::majani7:
Haya bora nitulie au nipige marimba
lol
...Big Up Maty. Yaani kwenye hiyo red, ni hatua ya kwanza kujikwamua kutoka kwenye mawazo machafu.
Wale wasemao Wanaume ndivyo walivyo, wanatukosea sana jamani. No wonder wengine hujionea "aaaarrghh, kama ndivyo unavyonifikiria na iwe hivyo!"
LOL....Mwj1 ....ushasahau ile thread iliyoongelea u-marufuku wa kubeba 'excess baggages' kwenye relationship mpya? ...Unapoingia relationship mpya na machungu ya zamani unakuwa humtendei haki mwenzio bana...
'aliyekutwisha ndiye aliyepaswa kukutua!'... hapa ni new beginning tu! Mbu believes past relationships shapes the future. Haina haja kuingia kwenye New Relationship na donge rohoni.
Lessons (previously learnt,) baadhi hazipaswi kusahaulika bali zichukuliwe as a learning curve.
Hiyo ndio Maturity. Duuhhh...I can't wait to make a difference in someone's life.
Mapenzi matamu nyie...Ohooo...
Mbu......laiti mngejua ni jinc gani mnavyoharibu nyumba zenu na hao mahawara zenu bac mcngekuwa mnayafanya, na kama mnafanya hakikisha mnafanya kwa ucri mkubwa sana sana tucjue, kwa msukuma japo tulikuwa kwenye hali icyo shwari pia hakutakiwa kujiamni kivile na kukaa mahali mradi mahali cjui alihic kutokana na tofauti tulizonazo nicnge minda? cjui kwa kweli, ile kitu iliniwekea kitu kama kidonda kinapona taratibu cwezi kukilazimisha kipone, mpaka sasa cjui atafanya nn arudishe hali yangu ya awali, kweli cjui, amekuwa my best frnd na kijitahidi kwa kila hali nirudie hali ya mwanzo kunifanyia hiki na kile but bado kidonda hakijapona kivile, kwa kweli cjui anifanyaje japo mwenyewe anaona maendeleo sio mabaya lakini ukweli ninao mwenyewe.
Sifa ya moyo TAMAA..........moyo sifa yake kutamaaani...........
Kwa kweli hata mimi nimetamani mwenzenu.
Nafikiri vijimambo hivyo si uchumi hauruhusu ila ni KUJIPANGA TU jamani.Natamaniiii,halafu hiyo bed ilivyodecoratiwa,just my taste,dah!
Mbu sasa unahamisha watu na post zako mwili kazini mawazo yanaenda likizo.
Oooh how I love retreats, jamani Mbu mimi ningekufilisi kwa hili lol
Wazo zuri kweli kamanda, aisee nitakutafuta for some tips..hivi na sisi si tunaweza kuwaandalia manjemba retreats?
Thanks for sharing, tena utalii wa nchini tu unatosha hapo kempiski serengeti long weekend mkirudi na akili mpya..maisha kufurahia, tumia hela ikuzoee!!..he he
Mbu nakuunga mkono mia kwa mia. Wanozijuwa faida ya hizi retreat wanakuja kutoka dunia nzima, tatizo letu na kwa roho mbaya tu, sisi wenyewe hatuendi halafu wakija hao wageni tunawashambulia eti wanakula raha zetu za asili.
Oooh how I love retreats, jamani Mbu mimi ningekufilisi kwa hili lol
Wazo zuri kweli kamanda, aisee nitakutafuta for some tips..hivi na sisi si tunaweza kuwaandalia manjemba retreats?
Thanks for sharing, tena utalii wa nchini tu unatosha hapo kempiski serengeti long weekend mkirudi na akili mpya..maisha kufurahia, tumia hela ikuzoee!!..he he
Asee Mbu on a serious note, what you have just reminded us is very important. Marriage life should also mean fun.....and on of the best places to have fun is in Serengeti National Park....have been to Kirawira way back in 2005 and I know the feeling of that pristine place!
...spot on bro!
...ila hapo kwenye 'mwenyewe,' tukishaingia kwenye hizi pingu za maisha neno mwenyewe linazikwa rasmi.
'mwenyewe' inayobakia ni ile ya kulala chumbani mchana wa jua kali wakati mamsapu ka lock mlango wa chumba kwa nje ('usitoke/usimkimbie!') ...halafu nae katandika mkeka langoni... eti yupo bize anasuka ukili!
Asee Mbu on a serious note, what you have just reminded us is very important. Marriage life should also mean fun.....and on of the best places to have fun is in Serengeti National Park....have been to Kirawira way back in 2005 and I know the feeling of that pristine place!
mimi HAPA BJ, niandalie ntakuwa tour guide:mwaaah: wako
Kaizer umeona eeh??
Yaani acha tu ninatamanije?
.............Ila mheshimiwa Mbu amenichekesha eti baada ya arusi outings zinakuwa ni zile za kuhudhuria arusi na send offs......................huyu amedata si mzima hata kidogo. Yaani nimejiangalia mie na kujichambua ilikuwaje yaani haya ndo yalivyokuwa!!
...there you Go, thanks for sharing bro. Big Up kwa kulitambua hilo.
..aha ha ha,...BJ anasema, "tumia pesa ikuzoee!"...yani hapo ndipo anaponimaliza.
Maneno juu ya mstari.
LOL..Mwj1 hapa imenibidi nicheke tu...hata nikikupa pole itakuwa haitoshi. Kheee?!
Kwania aona haya kutoka nawe?
off-topic...hiyo picha kidogo nikupotee, eehhh....'.ume trim ghafla!'
Mkuu samtaims we need to be alone kupunguza stress
Go Mbu, your wish is your command boy.
Lucky is the woman who is Mbu's last love.
...mkuu,...kuna kitu kitakuwa kina miss hapo.
Alone kwa masaa machache inakubalika.
Alone usiku mzima? ...na siku inayofuatia au hata wiki?
Hapana bana.
Najua umuhimu wake, lakini Maturity inatufunza ku adapt upesi na mabadiliko.
Lazima uwe flexible kwenye maisha ya ndoa. Kung'ang'ana kwenye Cave...(Men are from Mars,...)
ni kupoteza reality ya maisha unayoishi.
Anyway,...maisha ni uchaguzi...binafsi sitopendelea nikalale nje kisa nahitaji Space... (peace of Mind!)
The furthest nitampisha alale M'bedroom nikalale sebuleni, tena baada ya kumhakikishia nitamrudia baada ya kutafakari yanayonikwaza. Yote ni katika kuepuka kuulizwa "hivi wewe leo una nini?!"
...Wow, am humbled! Nami namuomba Mw'Mungu anizidishie nguvu ya
'kuyazidisha' mpaka kieleweke...LOL!