Kujipendelea Muhimu

Lol we Mbu asa mbona unatuchanganya........ina maana hakijaeleweka bado au una maanisha nini??

...it's a journey myluv....wengine wanaridhika na " 'eye' love you,' " wengine wakishavishwa pete ndio weshaolewa, wengine mpaka wazae ndio kinaeleweka,....mimi tafsiri yangu kila siku inavyokucha ndio siku ya kuyaanzisha (mapenzi) upya.

Ndilo darasa nililo graduate (lessons learnt)
Kazi yabakia kwa 'mpokeaji.'

Mwj1, ...najiskia raha wengi wamevutiwa na mada hii.
It's nice making a difference maishani mwa watu.
Hakuna linaloshindikana. Nia tu...
 
Mwee umfanyie hivi wife si ataanza kukulalamikia huko huko ohoo sijui mbona unachezea hela baba watoto si tungetumia kumalizia kibanda haha hahhah
Viva nyumba ndogo sie tunajua kutumia tuuuu:glasses-nerdy::glasses-nerdy::becky:
msinishambulie jamani:madgrin:


teh tehe tehh , MR unavituko....duuh, lakini moskito anasema kweli, wakati fulaki kujipendelea kunalipa, mi nshajalibu... na inalipa ile kichizi
 
...it's a journey myluv....wengine wanaridhika na " 'eye' love you,' " wengine wakishavishwa pete ndio weshaolewa, wengine mpaka wazae ndio kinaeleweka,....mimi tafsiri yangu kila siku inavyokucha ndio siku ya kuyaanzisha (mapenzi) upya.

Ndilo darasa nililo graduate (lessons learnt)
Kazi yabakia kwa 'mpokeaji.'

Mwj1, ...najiskia raha wengi wamevutiwa na mada hii.
It's nice making a difference maishani mwa watu.
Hakuna linaloshindikana. Nia tu...

........Nimekupata mydia.
Naomba uniazime basi notisi zako za darasa hili!! nanakili tu halafu nakurudishia/au nitolee photocopy
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
i see Mbu nakupa Big up sana nimekosa neno la kuongezea ..
Barikiwa sana na endelea kufungua moyo:mwaaah:
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...kwa faida ya wote waliopendezwa na ideas hizi za utalii wa ndani, kwa info zaidi
hususan wale mtaopendelea (Self-Drive Safaris,) mwaweza pata kupitia links zufuatazo.

http://www.tanzaniaparks.com/parkfees/Tariffs-Amended-2011-05.pdf
Source; The official site of the Tanzania National Parks - Home

Otherwise ni bora kukohoa pesa kiduchu kwa reputable Tour Operator mtayefanya nae tailor made "Romantic Getaway to Remember!"

propose-in-Zanzibar.jpg
 
mimi HAPA BJ, niandalie ntakuwa tour guide:mwaaah: wako

Haina shaka kabisa dear, I promise you it will be 'unforgettable tour' ...hamna kupiga mahesabu wala kufikiria mara mbili juu ya matumizi as long as tupo payroll ya mwezi utakaofuatia...ni mwendo wa kula, music, spa, massage, kuzunguka na fyokofyoko zote.

Halafu kukirejea makazini, full fresh mind kama vile tumeshuka toka mbinguni..Kweli hii idea nzuri sana..btw, nimefika Manyara national, ruaha, ngorongoro, mikumi, momela zote zilikuwa tour nzuri sana na memorable. Utalii wa nchini naupenda kweli..akili inapumzika ndani ya nchi yako kwa vivutio murua!!..
Mbu, nitakutafuta zaidi kwa information...I need more adventures:)) Hongera kwa mpz mpy naona amekuchangamsha sana!!..
 
Kaizer umeona eeh??
Yaani acha tu ninatamanije?

.............Ila mheshimiwa Mbu amenichekesha eti baada ya arusi outings zinakuwa ni zile za kuhudhuria arusi na send offs......................huyu amedata si mzima hata kidogo. Yaani nimejiangalia mie na kujichambua ilikuwaje yaani haya ndo yalivyokuwa!!

kukumbuka ilivokuwa haiswihi....sasa hivi nibora kutamani yajayo....LOL

MJ1 hiyo avatar niaje..
 
Haina shaka kabisa dear, I promise you it will be 'unforgettable tour' ...hamna kupiga mahesabu wala kufikiria mara mbili juu ya matumizi as long as tupo payroll ya mwezi utakaofuatia...ni mwendo wa kula, music, spa, massage, kuzunguka na fyokofyoko zote.

Halafu kukirejea makazini, full fresh mind kama vile tumeshuka toka mbinguni..Kweli hii idea nzuri sana..btw, nimefika Manyara national, ruaha, ngorongoro, mikumi, momela zote zilikuwa tour nzuri sana na memorable. Utalii wa nchini naupenda kweli..akili inapumzika ndani ya nchi yako kwa vivutio murua!!..
Mbu, nitakutafuta zaidi kwa information...I need more adventures:)) Hongera kwa mpz mpy naona amekuchangamsha sana!!..

naam BJ, tumia pesa ikuzoeee

hivi na wewe umeoma mabadiliko kwa ndugu yetu Mbu eeh? LOL
 
Mbu hii threat ni nzuri sana na imewa remind watu wengi umuhimu wa retreat, insaidia kupunguza misongo ya mawazo na mumfanya mtu ajisikie fresh na mpya, Thanks for the remind mbu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nyamayao, maty na MJ1 mmenifurahisha sana na mtoa one of the good lessons kwenye thread zenu, nice one, Nyamayao mama hayo mambo ni ya kawaida, jisaidie kuponyesha hicho kidonda alichokisababisha shemeji although kiukweli inachukua muda sana kupona
 
Nyamayao, maty na MJ1 mmenifurahisha sana na mmetoa one of the good lessons kwenye thread zenu, nice one, Nyamayao mama hayo mambo ni ya kawaida, jisaidie kuponyesha hicho kidonda alichokisababisha shemeji although kiukweli inachukua muda sana kupona
 
Unakuta mtu mzima umelipia mkae siku tatu halafu unaanza pewa lecture kama hizo...mwishoe waulizwa siku tatu zote za nini naomba twende ukaombe wakurudishie hela ya siku mbili turudi nyumbani.halafu haya mambo ya kuchukua hela benki bila kunishirikisha mi sipendi kabisa.

Ndio hapo inapoingia nyumba ndogo! Kule huulizwi maswali kama uko mahabusi kwa pesa yako mwenyewe hahahahah lol! Si anaenda kumchuna buzi!? Sasa maswali ya nini tena wakati buzi linataka kuchunwa? Wewe umeambiwa fungasha viwalo vyako vikali vikali ukale maraha kwa wiki nzima! unaanza kuleta za kuleta! Nyumba ndogo hakuna hayo ya kuwekwa kiti moto eti kwa kula maraha tena kwa pesa yako ya halali.

YouTube - ‪Edward Maya & Vika Jigulina - Stereo Love (Official Music Video)‬‏
 
Ehee?!! kumbe wanafaidi sana wenzetu.................................Hamna mtu anayetafuta nyumba ndogo humu jamani? Mkinionea mnijuze. Natanguliza aksante.




Mbu una mafumbo kama mwalimu wa kiswahili!!

Mhhhh! MJ1! Ya kweli hayo!? hahahahahah lol! Tanga kunani? Haya Mwaya kila la heri katika kutafuta maraha ya dunia na njemba ikinogewa inaweza kabisa kutangaza harusi hapa hapa jamvini :)

YouTube - ‪Mia Martina - Latin Moon‬‏
 
Kujipendelea muhimu sana, inakufanya uwe na confidence sometime! Mkuu MBU umekuja na thread ya ukweli, nadhani wewe ndie mrithi wa bujibuji au mwanakijiji!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mhhhh! MJ1! Ya kweli hayo!? hahahahahah lol! Tanga kunani? Haya Mwaya kila la heri katika kutafuta maraha ya dunia na njemba ikinogewa inaweza kabisa kutangaza harusi hapa hapa jamvini :)

YouTube - ‪Mia Martina - Latin Moon‬‏


.........Hahahaha BAK mwenzangu si watu humu naona wanantamanisha!! Mie pamoja na kujitahidi kutofuga gubu, sijawahiambiwa hata siku moja .Mamsap hebu leo tukajivinjari................ah. Ye kila siku ...nina safari za kikazi na cha ajabu safari zenyewe ni mwisho wa wiki, ukiuliza waambiwa katikati ya wiki kazi zinakuwa nyingi na hivyo ili zisilale ni policy ya ofc.tunasafiri weekend!! Na nkichunguza safari zooote hizo hakuna hata moja ya mkoa wa mbali! Ni chalinze, Pugu akizidi saaana Morogoro! Na huko ukipiga simu ni miziki na pombe ah.........

Nani asiyetaka raha duniani???

..................jamani nakumbushia tu ombi langu.................Aksanteni.
 
ndo maana mie nakula maisha na zake, zangu najenga kisirisiri ili akifulia nimsaidie.manake najua holidays hizi nikidengua zinakuja kwako (naenda kikazi tandahimba,hakuna network so simu nehii!)

<font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">Mwee umfanyie hivi wife si ataanza kukulalamikia huko huko ohoo sijui mbona unachezea hela baba watoto si tungetumia kumalizia kibanda haha hahhah</font></font></p>
<p><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">Viva nyumba ndogo sie tunajua kutumia tuuuu<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.gif" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="190" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.gif" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="190" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/becky.gif" border="0" alt="" title="Becky" smilieid="127" class="inlineimg" /></font></font></p>
<p><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">msinishambulie jamani<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/madgrin.gif" border="0" alt="" title="Madgrin" smilieid="224" class="inlineimg" /></font></font></p>
<p>
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Back
Top Bottom