mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
hebu nipite tu hapa
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
- You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
- Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
- Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
- You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Age mate... i think AshaD and Boss are quite right.... dogo kajisaidia kwenye kabinyau halafu anajifanya msela nondoShem, huna haja kupoteza muda kushauri hivi vitoto vilivyotoka kubalehe jana. Vinatupima upepo tu hapa........
Kwema lakini?
Hahahahah......dah! We hatari sana mazee!Age mate... i think AshaD and Boss are quite right.... dogo kajisaidia kwenye kabinyau halafu anajifanya msela nondo
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
- You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
- Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
- Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
- You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Hahahahaha............haya bana. Ila mi naamini dawa yao ni kuwapotezea.....
Maadam wote wameenda msalani, namshukuru Allah uzima upo.
Afu hivi wajua nlivyokumiss?
Age mate... i think AshaD and Boss are quite right.... dogo kajisaidia kwenye kabinyau halafu anajifanya msela nondo
Hahahahah......dah! We hatari sana mazee!
Sijui kama moderm leo itakuwa na hela ya kutosha........ ngoja tusubiriaaaiiiseee!! Kama Mkuu (dogo) kapitia hii thread.... naona kishajifunza tayari..... lol
Sijui kama moderm leo itakuwa na hela ya kutosha........ ngoja tusubiri
Twenzetu mtaa wa pili kule, hapa kimeshaeleweka.......Sidhani kama ni modem antumia....lol.... Atakua tu anaenda cafe....
Mpaka nimekosa mwelekeo.... Tunajadili nini vilee??
Twenzetu mtaa wa pili kule, hapa kimeshaeleweka.......
Mkuu Asha dii Ametaka Ushauri wa kwenda kuishi na Mama mwenye umri wa Miaka 51 naona umemshambulia sana huyo kijana . Mungejaribu kumsaidia kimawazo sio kumshambulia jamani. Mimi kwa mawazo yangu jambo la kwanza ikiwa wewe hujawahi kuowa au hata uliwahi kuowa lakini huna mtoto usijaribuAmini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
- You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
- Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
- Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
- You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Mkuu Asha dii Ametaka Ushauri wa kwenda kuishi na Mama mwenye umri wa Miaka 51 naona umemshambulia sana huyo kijana . Mungejaribu kumsaidia kimawazo sio kumshambulia jamani. Mimi kwa mawazo yangu jambo la kwanza ikiwa wewe hujawahi kuowa au hata uliwahi kuowa lakini huna mtoto usijaribu
kwenda kwa huyo mama anaonyesha yeyeni mkubwa zaidi yako. La kama ulisha wahi kuowa na una mtoto au watoto na kwa sasa mke huna unaweza kwenda kujaribu kuishi nae, lakini ukae ukijuwa huyo mama atakuwa anakupenda na kukuonea Wivu mwingi kiasi kwako itakuwa
kama ni kero tu.Na Matokeo yake hutaweza kukaa nae muda mrefu, la kama unakwenda kwa huyo Mama kwa ajili ya maslahi ya pesa nenda nimekuruhusu mimi. Kwa umri aliye kuwa nao huyo mama inaonyesha amesha zaa na hahitaji tena watoto anachohitaji ni starehe ameshakuwa
Mtu Mzima au kwa lugha ya kimjini amekuwa Shangingi huyo kwa hiyo anakuhitaji wewe uende kumstarehesha nenda tu Mkuu. mimi mwenyewe nilivyoanza mapenzi nilianza na hao Wanawake wakubwa wana raha zao sana tu.
Amini usiamini (utanisamehe ukikwazika) Nimepata hii picha.
- You so wish kua na liji mama but hata hujawahi lala na wa namna hio... kiasi kamba unaona uongelee hapa.
- Nakubaliana na the Boss.. you sound like in late teens... Hivi huna mtu huko wa kukuongoza?? Wanaume wa kweli wakifanya haya mambo hawayapumui hadharani.
- Au kweli lijimama lilisha wahi kukuomba ukaliliridhishe huko... but mliishia hapo hapo (labda ulishindwa game) hivo kuji nurse pride na moyo unaleta hadith hizi hapa.
- You are so hang on on Sex... Na huna pakutulia ngege zako.
Ashadii nimekulipia bill ya mwezi mzima ya Chai ya maziwa pale hotelini...............................umetoa suluhu kwa huyu ndg yetu
hahaha..... Asante saana Mkuu.... Naruhusiwa kuja walau na mtu mmoja?? lol
AshaDii,
Nakusalimu my dear.......i have missed you a lot.