Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...

Ingekuwa vizuri sana kama mngejiuliza ni nani wa kupambana na huyo 'Shekh' ndani ya CCM.
Membe? Sita? Sumaye?....?

CCM hakuna wakushindana nae akiamuwa kugombea Urais, atawashinda wote hao uliowataja, Hapo sasa!
 
Zomba nenda Milembe ukatibiwe kwa kudhani kuwa Richmond haukuwa ufisadi. Tujaribu kutumia akili japo kidogo jamani vinginevyo tutaendelea kuabudia mafisadi bila kujitambua kama Zomba unavyofanya. Nakuonea huruma siku ukweli ukifumka ingawa utatuweka huru wote.
 
Zomba nenda Milembe ukatibiwe kwa kudhani kuwa Richmond haukuwa ufisadi. Tujaribu kutumia akili japo kidogo jamani vinginevyo tutaendelea kuabudia mafisadi bila kujitambua kama Zomba unavyofanya. Nakuonea huruma siku ukweli ukifumka ingawa utatuweka huru wote.

Kukopa chama vipi? hapo bado hujapewa madaraka.
 
Kabla hujajiuliza wakupambana nae kutoka cdm, jiulize ndani ya ccm pakoje maana huko ukiacha wewe na Sofia Simba, hakuna anayemtaka!
 
hivi we zomba unaishi ili ule au unakula ili uishi kwani uchambuzi wako kama unaongozwa na tumbo.EL na mauzauza yote aliyofanya hadi nyerere akamkataa wewe bado unamuona mtu wa kuongoza nchi au unahamu ya kuwa mtumwa(slave)
 
Ni kweli mkuu Zomba CDM hatuna mtu wa kupambana naye,si MBOWE wala DR SLAA.Sababu ni rahisi CDM hatuna walafi kama yeye wa kula mpaka mbegu.Ninamfananisha na wale mafarisayo wanaotajwa kwenye bible ambao husafisha nje ya kikombe kumbe ndani ni kuchafu.wamejaa udhalimu,wizi na ulafi,ni hodari wa kuketi viti vya mbele na hutoa sadaka kubwa ili waonekane na kupendwa.Hivyo kwa msingi huo itakuwa ni kinyang'anyiro cha kutafuta nani mlafi,mwizi na mnafiki zaidi ambapo CDM tutashindwa vibaya kama ulivyotabiri kwasababu hatuna wala sitarajii atakuja kiongozi kama huyo sheikh ubwabwa.
 
Ni kweli mkuu Zomba CDM hatuna mtu wa kupambana naye,si MBOWE wala DR SLAA.Sababu ni rahisi CDM hatuna walafi kama yeye wa kula mpaka mbegu.Ninamfananisha na wale mafarisayo wanaotajwa kwenye bible ambao husafisha nje ya kikombe kumbe ndani ni kuchafu.wamejaa udhalimu,wizi na ulafi,ni hodari wa kuketi viti vya mbele na hutoa sadaka kubwa ili waonekane na kupendwa.Hivyo kwa msingi huo itakuwa ni kinyang'anyiro cha kutafuta nani mlafi,mwizi na mnafiki zaidi ambapo CDM tutashindwa vibaya kama ulivyotabiri kwasababu hatuna wala sitarajii atakuja kiongozi kama huyo sheikh ubwabwa.

Kwa hiyo akiamuwa kugombania hamtoweka mgombea, mtasusia uchaguzi? kama kawa?
 
Kwa sababu Lowasa ni Mkristo mwezetu anayo kura yangu wala hakuna tabu yoyote. Viva Lowasa viva CCM, CCM for Christian & Muslim for CCM.
I think ur happy now Zombie!!
 
Inaniwia vigumu kila nikitazama safu ya Chadema kumpata wa kumliganisha uzito na huyu bingwa wa uzito wa juu katika medani za siasa ya Tanzania.
lowassa-important.JPG


Nashindwa kupata jibu ni mwana siasa yupi ndani ya chadema ambae atasimama haswa na kuwakinaisha Watanzania wamchaguwe badala ya Lowassa iwapo ataamuwa kugombea kiti cha Urais Tanzania?


Maana najuwa Mbowe hana hamu tena baada ya kugaragazwa vibaya sana na Jakaya Mrisho Kikwete mwaka 2005.

Slaa nae choka mbaya, hana jipya zaidi ya majungu na siasa zisizo na mpango, hata ujumbe kwa Mwema ni ushahidi tosha kuwa kaishiwa kisiasa.

Nilidhani Zitto ataweza kwa kuwa ni damu changa lakini napata mashaka kuwa siasa za ukanda za chadema zitampa fursa ya kugombea, dalili zote zinaonesha chadema wa kanda ya kaskazini hawamtaki kabisa. Kwa hiyo huyu nnamtoa kwenye kinyan'ganyiro.

Shibuda hata akipitishwa kugombea akiambiwa Lowassa anagombea atakataa kuchuana nae.

Ka Mnyika, haka bado sana, hata ubungo inamshinda na sijui kama atashinda tena hata akigombea Ubunge huko. Kwishnei.

Halima Mdee, huyu hana ubavu, huyu akisikia Lowassa anagombea labda ajitafutie umaarufu tu - kwa hiyo huyu nje.

Nani mwingine?

Natamani Lowassa atangaze mapema kugombea 2015 angalau chadema waanze kujitayarisha mapema na mgombea ambae uchaguzi hautokuwa boring, maana hao wote juu Lowassa atawaonea tu.

CCM inatisha.

We ungejua kuwa M4C ni project inayofadhiliwa na huyu bwana, wala ucngejisumbua hata kuwaza hicho ulichopost. Ndo maana imeibuka wakati huu wa mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM na itapamba zaidi kuanzia Mwezi Octoba hadi Uchaguzi Mkuu wa CCM utakapomalizika. Cc wajanja tunajua ndo maana hiyo M4C haitusumbui.
 
Ni nani ambae wewe unafikiri ana uwezo wa kuchuana na Lowassa ndani ya Chadema?

Hapa patamu kweli kweli, maana mpaka sasa mnajiuliza, mnaona mnhhhhh. 2015 akigombea Lowassa kwenu inabaki kuwa ndoto ya 2020. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

Punguza ghadhab na matusi, hayakusaidii kufikiri vizuri, chemsha bongo uje na jibu.

Hujajibu swali Lowassa anasimamia itikadi gani?

Au ndo mambo ya "cult of personality" kumshinda "Il Duce"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom