Siasa za nchi changa.
Ever revolving around some cult of personality, seldom around policies.
ASANTE""""""""!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KWA kunijuza kumbe EL, siku hizi ni SHEKHE, kwele nimeamini kumbe ule mpango wa MS ulikuwa mkali na umefanya kazi. TUTASIKIA MENGI SANA MPAKA 2015. EEEE!!!!!!!!! MUNGU WETU IEPUSHE TZ NA MAPANGA. Na watu wotu wanaompenda MUNGU na kumcha, waseme AMINA
Zomba live kambi ya EL fisadi nambari moja na mhujumu uchumi!! Mtu akimtetea huyu aliyetuletea Richmonduli ambayo tunateswa nayo hadi leo kupitia Dowans na mambo ya kibepari yaani wewe!!! Huyu ni hatari kama bomu la Hiroshima na Nagasaki, madhara yake yanaendelea hadi leo Japani. Usimpigie kampeni huyu kirusi. Ngoja waje wazee wa JF waanze kumchana!!
USA; Obama vs Romney.
USA; Obama vs Romney.
Lowassa hata avae msuli na kufunga bado ni fisadi asiyepaswa kuwa rais wa nchi yetu. Kikwete na kizazi hiki cha mafisadi wametosha. Badala ya kuhangaika kujisafisha aeleze ukweli jinsi yeye na Kikwete walivyoshiriki kuhujumu nchi kupitia Richmond. Vinginevyo anapoteza muda. Natamani CCM wamsimamishe Lowassa ili CDM ishinde asilimia 90.
Poor analysis...
Eliah G Kamwela says sorry for this very kilazaful post.