Antar07
Member
- Dec 27, 2017
- 29
- 10
maafisa vilimo maranyingi itakuwa hawapiti huku.
wapo bize kutoa handout kwa wakulima juu ya hali ya hewa na mazao yanayoweza kukubali kulingana na eneo husika
Na Mara nyingi wanakua mashambani ambako network ni shida