Ila maisha bana..Mimi Ni Mtumishi Wa Mahakama,Nipo Mkoa Wa Songwe_Tunduma,Nahitaji Mtu Wa Kubadilishana Nae Kituo Cha Kazi Awe ,Pwani,Dar es salaam,Tanga,Na Morogoro.
Namba!0715_970_172..
Post za kilimo kwa utumishi lazima upige msuli wa Research maana maswali ya research huwa ni Kama lazima na mengine ya general concept basing on agricultural coursesWakuu nimeitwa kwenye intervew Utumishi Afisa kilimo II -NAOT naombeni muongozo , nipitiepitie wapi kujinoa? Maana hapa ni kupambania kombe, najua wapo wanaJF wenye uzoefu katika hili tusaidiane jamani.
Ulikutana na maswali yepi bossWakuu nimeitwa kwenye intervew Utumishi Afisa kilimo II -NAOT naombeni muongozo , nipitiepitie wapi kujinoa? Maana hapa ni kupambania kombe, najua wapo wanaJF wenye uzoefu katika hili tusaidiane jamani.
Mkuu hizi nafasi zilikuwa ngapi vile..?Ulikutana na maswali yepi boss
Umepata wa kubadilishana nae?Wa Katerero Bukoba Vijijini akuna hata mmoja?? ila awe afisa mifugo me nipo Kongwa Dodoma
Vp mlishabadilishana vituo vya kazi ?Mkuu angalia pm? uje rock city
Ushapata wa kubadilishana naeMimi ni afisa kilimo wilaya ya kaliua tabora, namtafuta wa kubadilishana nae me niende Arusha, kilimanjaro, tanga, manyara au morogoro
Ulishapata wa kubadilishana nae ?Mimi ni afisa kilimo wilaya ya kaliua tabora, namtafuta wa kubadilishana nae me niende Arusha, kilimanjaro, tanga, manyara a u morogoro
Ulishapata wa kubadilishana nae Mkuu?AFISA KILIMO, Njoo Handeni Tanga Nije Kilolo Au Iringa Vijijini.0656959432
Hivi kuna mtumishi yeyote aliyefanikiwa kupata transfer kupitia hii link?
Itakuwa bado kwenye matengenezoHivi kuna mtumishi yeyote aliyefanikiwa kupata transfer kupitia hii link?
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app