PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
Ndugu wana JF,
Salaam.
Taarifa ya habari ya jana ITV saa 2.00 usiku, ilitangazwa kuwa leo kutakuwepo na mjadala juu ya Mapitio ya Azimio la Arusha na Katiba Mpya.
Namna ambavyo Azimio hilo linaweza kuhuishwa katika katiba mpya ijayo.
Mjadala upo ukumbi wa Nkrumah UDSM, utaoneshwa live na ITV na kutangazwa na Radio One.
Tafadhali, aliyeko hapo au uko na TV yako tujulisheni sie huku tuko field tunahudumia jamii japo tuna Generator na Laptop zetu.
Asanteni.
Salaam.
Taarifa ya habari ya jana ITV saa 2.00 usiku, ilitangazwa kuwa leo kutakuwepo na mjadala juu ya Mapitio ya Azimio la Arusha na Katiba Mpya.
Namna ambavyo Azimio hilo linaweza kuhuishwa katika katiba mpya ijayo.
Mjadala upo ukumbi wa Nkrumah UDSM, utaoneshwa live na ITV na kutangazwa na Radio One.
Tafadhali, aliyeko hapo au uko na TV yako tujulisheni sie huku tuko field tunahudumia jamii japo tuna Generator na Laptop zetu.
Asanteni.