johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Kuna mambo siyo lazima yasubiri Katiba mpya bali yanaweza tu kutungiwa sheria katika bunge la sasa
Nimefurahishwa sana na namna CCM na Chadema walivyofungua pazia la Siasa za kistaarabu na kushikamana katika lile kongamano la Bawacha
Ni vema sasa iundwe sheria ya vyama kuungana kama ilivyo kwa Ndugu zetu wa Kenya Kwanza na Azimio kule Kenya
Mungu ni mwema Wakati Wote!
Nimefurahishwa sana na namna CCM na Chadema walivyofungua pazia la Siasa za kistaarabu na kushikamana katika lile kongamano la Bawacha
Ni vema sasa iundwe sheria ya vyama kuungana kama ilivyo kwa Ndugu zetu wa Kenya Kwanza na Azimio kule Kenya
Mungu ni mwema Wakati Wote!