Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Hivi Mdahalo huu na ile miwili ya katiba imeratibiwa na taasisimoja? maana wadau wachangiaji waliokuwepo kwenye ile midahalo iliyopita sijawaona hususan wale wa vyama pinzani na CCM. lakini ajabu leo hata Nape amekuwepo japo kulingana na kijana kiongozi wa mdahalo anasema hakuna mtu aliyepewa mwaliko rasmi. kweli wazee wote akina Butiku wamekuja hapo bila mwaliko rasmi! tena wakawa wachangiaji wazuri vile! this is so interesting. Lisije likawa ni Gamba linajaribu kufunika nguvu ya midahalo iliyopita.
Achana na issue za gamba is not logic
Ni kweli kwanza liliandaliwa ka haraka na chanzo au sababu ni ubishani kwenye panel moja ikapelekea hili kongamano.
makongamano yajayo tutajitahidi yawe na mialiko ya watu wote, lakini lengo ilikuwa kupata data fulani na mawazo ya watu wasiosikika sana
Prof Shivji anaamini kwenye AA
Personally siamini kwenye AA naamini kwenye sheria, na hoja kubwa ni kuwa hata kama AA itakuja tena, kama kuna viongozi dhaifu
wa kutosimamia litakuwa halina maana.
There willbe about 4 makomgamano ni mjadala wa kitaifa zaidi na unaoeleka kwenye capacity building hata ya vyama vya siasa ambavyo , vinaonekana havina think tanker wa kukaa chini na kudadavua mifumo yetu na matatizo yake, nadhani kwa mfano kuna sehemu prof kagusia ufisadi ni mfumo.. nakubaliana naye kwa asilimia 100! bila kujua na kutoa solutiona tutajaza majina kila siku ya wezi wa nchi hii na mwisho tutajistukia tunajitaja! though in politics anything is allowed! sasa tutofautishe siasa na hali halisi
Kudhihirisha kuwa tunajisahau sana kuwaza juu ya taifa letu, sisi wote regardless uko wapi na unafanya nini, kujadili AA na bila mbadala kwa zaidi ya miaka 25 ndiyo indicator kuwa taifa limelala. Nyerere aliwaza na akafanya kwa taifa lake , awe alifail au kufaulu he played is remarkable role...je sisi tunafanya nini??