EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Ukweli nimeukuta mjadala uko katikati kabisa,lakini huyu mama kombani hajui chochote.
Ameulizwa katika kikao chabunge kilichoukataa mswada mwezi wa nne,spika alisema
mswada sasa uko bungeni na haitakiwi kurudishwa tena serikalini kwa marekebisho
bali ufanyiwe marekebisho na kamati ya bunge ni kwanini wao waliupeleka serekalini?Kombani
akasema kuwa kamati ya bunge ilitoa ruhusa urudishwe serekelini lakini wakati huo Mh. Lisu
alikuwa Tarime.Sasa Lisu akamwambia aonyeshe maandishi yaliyoruhusu urudishwe serikalini
mama akabaki anacheka na kuona aibu.Kwa ujumla huyu mama ameonyesha wazi hakuwa
amejipanga na alifurahi sana muda kwisha manake alishachanganyikiwa kabisa.
Ameulizwa katika kikao chabunge kilichoukataa mswada mwezi wa nne,spika alisema
mswada sasa uko bungeni na haitakiwi kurudishwa tena serikalini kwa marekebisho
bali ufanyiwe marekebisho na kamati ya bunge ni kwanini wao waliupeleka serekalini?Kombani
akasema kuwa kamati ya bunge ilitoa ruhusa urudishwe serekelini lakini wakati huo Mh. Lisu
alikuwa Tarime.Sasa Lisu akamwambia aonyeshe maandishi yaliyoruhusu urudishwe serikalini
mama akabaki anacheka na kuona aibu.Kwa ujumla huyu mama ameonyesha wazi hakuwa
amejipanga na alifurahi sana muda kwisha manake alishachanganyikiwa kabisa.