Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Kwanini usifanyika mjadala huu wa Katiba ya Tz baina ya Chadema (Tundu lissu ) na CUF mwakilishi (Aboubakar Hamis) ili tujue mbivu na mbichi. Kwani siku zote Lissu anapewa watu dhaifu na hivyo kutumia nafasi hiyo kuinanga Znz na wa Znz .
Apambanishwe na Mh Abobakar Hamis ili asomeshwe ili kujua katiba ni nini?
Halafu wakishapambanishwa?