Kombani anasema serikali ilipewa ruhusa na kamati kufanya mabadiliko wakati yeye Tundu Lissu yupo Tarime kwa iyo atakua hana taarifa kama mjumbe wa kamati. Lissu anamwambie aonyeshe hansard iliyowapa ruhusa naona bibi Kombani ameishia kujichekesha tu
Wanene kinaga ubaga msitakabali wa nchi hii kwa sasa na baadaye
Wakuu, wengine tuko ughaibuni tv yetu ni JF jitahidini kutuwekea hapa yanayoendelea live.