Kodi ya majengo bado kizungumkuti

Ishu sio kulipa. Unaenda serikali ya mtaa Unachukua form ya malipo, inaonyesha kiwango cha kulipa unaenda unalipia banks za biashara kama crdb, nmb na nyinginezo za biashara, ukishamaliza kulipa unaenda TRA office na zile forms za malipo kutoka banks pale ndio kuna foleni la kufa mtu.
Wengineo unakuta ana malimbikizo ya kulipa sasa ameenda kwa ajili ya Complain apo ndio kuna upotevu wa muda
Kweli lakini watu wanalalamikia muda mfupi halafu foleni ndefu kila kukicha
 
TRA wajiongeze watu wawe na uwezo wa kulipia Kodi ya majengo kwa njia ya simu kama ilivyokua kwenye motor vehicle road license.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ni wazembe hawa TRA hawakujiandaa kabisa kukabiliana na wingi wa wateja. Na hii shughuli ilikuwa inafanywa na halmashauri za majiji na miji, baada ya malaika kuona Chadema imeshinda katika halmashauri nyingi nchini akaamua kunyang'anya mapato ya halmashauri hizo na kuhamishia Serikali kuu.
Usiweke siasa kwenye kila kitu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Dah! Acha kukurupuka wapi nilipoweka siasa? Nilichoandika ndiyo ukweli mtupu wa kile kilichotokea usitake kuupindisha ukweli halisi. Kwa miaka 20 ya awamu ya tatu na ya nne hakukuwa na umuhimu wa kukwapua mapato ya halmashauri za miji na majiji mpaka awamu hii. Tia akili kichwani.

Usiweke siasa kwenye kila kitu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom