Kodi ya majengo bado kizungumkuti

Cha,bora kulipa fine,maana foleni balaa,hawa tra wangefanya kazi saa 24

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Ni wazembe hawa TRA hawakujiandaa kabisa kukabiliana na wingi wa wateja. Na hii shughuli ilikuwa inafanywa na halmashauri za majiji na miji, baada ya malaika kuona Chadema imeshinda katika halmashauri nyingi nchini akaamua kunyang'anya mapato ya halmashauri hizo na kuhamishia Serikali kuu.

Kwani TRA hawana account bank? Kwa nini watu wasilipie kwenye bank zao kuliko wanavyofanya sasa. Mambo ya kupanga foleni ni mtindo wa kihovyo sana. Mnakuja na matamko suluhu hamna. Property Tax lilipashwa iwepo kitambooo utaratibu ulipashwa uanzie Ardhi sasa hii kukurukakara inaumiza wengi.
 
Ni wazembe hawa TRA hawakujiandaa kabisa kukabiliana na wingi wa wateja. Na hii shughuli ilikuwa inafanywa na halmashauri za majiji na miji, baada ya malaika kuona Chadema imeshinda katika halmashauri nyingi nchini akaamua kunyang'anya mapato ya halmashauri hizo na kuhamishia Serikali kuu.
Maamuzi ya mtu mmoja matokeo yake ni haya.
 
Kwani TRA hawana account bank? Kwa nini watu wasilipie kwenye bank zao kuliko wanavyofanya sasa. Mambo ya kupanga foleni ni mtindo wa kihovyo sana. Mnakuja na matamko suluhu hamna. Property Tax lilipashwa iwepo kitambooo utaratibu ulipashwa uanzie Ardhi sasa hii kukurukakara inaumiza wengi.
Kuna wale wanaolipia moja kwa moja ktk account ya TRA Bank ambao walikuwa wakilipia kodi za majengo miaka ya nyuma ambao kumbukumbu zao zipo lakini wengi wa wale tunaowaona kwa sasa kwenye foleni ni wale ambao ni walipaji wa mara ya kwanza ambao wanalipia TRA na baada ya hapo kwa vile watakuwa wamekwishaingizwa kwenye system basi kuanzia mwaka wa fedha 2017/18 watakuwa wanalipia moja kwa moja bank maana kumbukumbu zao zitakuwepo TRA
 
Mimi nimeshakata tamaa, nasubiri tu hiyo adhabu yao. Nimeenda jana TRA Mwenge lkn nyumba yangu nayotaka kulipia iko Iringa, wananiuliza kama nimeletewa barua ya kutathminiwa, hiyo barua (invoice) haijawahi kupelekwa ingawa nyumba ilipewa namba (usajili). Nikataka kulipia kibanda changu nachoishi gapa Dar ambapo hapajasajiliwa na ni eneo ambalo halijapimwa na sijawahi kupata barua yoyote. TRA wananiambia biende ofisi ya Serikali ya mtaa kujisajili!

Sasa hao wenyeviti wa mtaa wabafanya kazi gani? Kwa nini wasitembelee kila nyumba (zilizo makazi holela ) ili wazitambue? Yaani kulipa kodi nataka lkn huo usumbufu unashangaza. Yaani badala ya kufanya ulipaji wa kodi ya majengo uwe rahisi, inakuwa usumbufu. Ni kama vile hakuna maandalizi yoyote yaliyofanyika.


Vv
 
Wananchi tujifunze kulipa mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho, ni shilingi elfu 10 lakini unaweza kupoteza muda siku 2 kama utani.
Ukata kaka hakuna anaetaka iwe hivyo ukiona kwako kunaungua kwa mwenzako kunateketea,,

Sent from my M2 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo Watanzania tunapenda kufanya vitu dakika za mwisho mwisho.

Awamu ya kwanza foleni ilikuwa kubwa kweli dakika za mwisho lakini baada ya kuongezewa muda mlikimbia wote sasa hivi ten dakika za majeruhi mnarudi tena kwa wingi.
Hakuna Hali ngumu, mlo mmoja Sasa ni shiiidaaaa,

Sent from my M2 using JamiiForums mobile app
 
Sio jibu la swali lililopo mezani. Issue ni kuweka kaunta zote hai na kuhakikisha systems zinafanya kazi.

Iweje mtandao uwe down mara 5 hadi 6 kwa siku?
System lazima itakuwa down. Kumbuka ni nchi nzima. Bandwith imekuwa ndogo. Mzigo ni mkubwa.
Tujifunze kulipa kwa wakati. Late comers ni 80% ya wateja ( ref: consumer behavior)

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Malipo yote yanafanyika bank kinachofanyika ni mtu kwenda kuchukua bill yake na kwenda bank kulipia. hiyo bill ina contro namba ambayo inatumika kulink kati ya TRA na Commercial bank
Asante..yawezekana wanaoshangaa hawana majengo ili walipie kodi!
 
Ni wazembe hawa TRA hawakujiandaa kabisa kukabiliana na wingi wa wateja. Na hii shughuli ilikuwa inafanywa na halmashauri za majiji na miji, baada ya malaika kuona Chadema imeshinda katika halmashauri nyingi nchini akaamua kunyang'anya mapato ya halmashauri hizo na kuhamishia Serikali kuu.
Probably..
 
Back
Top Bottom