Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,475
Kukomoana huko, sheria gani ya faini ya mara 5? Penalties za late payment haziendagi zaidi ya 30%Utalipa na faini ambayo ni mara tano ya ulichotakiwa kulipa.
Kukomoana huko, sheria gani ya faini ya mara 5? Penalties za late payment haziendagi zaidi ya 30%Utalipa na faini ambayo ni mara tano ya ulichotakiwa kulipa.
Tatizo Watanzania tunapenda kufanya vitu dakika za mwisho mwisho.
Awamu ya kwanza foleni ilikuwa kubwa kweli dakika za mwisho lakini baada ya kuongezewa muda mlikimbia wote sasa hivi ten dakika za majeruhi mnarudi tena kwa wingi.
Nime like twice kumbe nina unlikeAcheni kutetea ujinga. TRA is pathetic! Huwezi kuweka utaratibu wa kulipa kodi kwa foleni. Lazima mfumo wa kodi uwe Rafiki kwa mlipaji. Hivi kweli na technolojia ya leo..MPESA, Tigopesa nk..bado watu wapange foleni? This whole thing shows you lack of creativity on TRA. Kama unaweza tuma pesa kutoka Dar kwenda Nairobi in two seconds..kwanini ishindikane kuituma TRA?
Guess what? Leo JPM akifoka kwamba TRA waweke utaratibu Rafiki wa kulipa hii kodi..They will change!
Again..labda ndo ule msemo punda haendi bila mijeredi!
Kumbuka watu walipiga pesa nyingi kuliko gharama zenyewe.Usitoe majibu ya maswali ambayo huna ujuzi nayo. Wakati huu mkongo sijui mkunga wa taifa unasimikwa, tuliambiwa na kuaminishwa kwamba utakuwa ndio muarobaini wa matatizo ya mawasiliano Tanzania. Leo hii, miaka michache tu umezidiwa, ina maana makampuni ya simu yanayotandika miamala ya fedha round the clock country wise yanatumia mfumo gani wa mawasiliano?
Issue siyo benki, tatizo ni namna ya kupata makadirio kwamba ulipe kiasi gani. Tulikusanya fomu Ving'ung'uti tangu 30/6/17. Tukaambiwa majina yatabandikwa ukutani. Tangu juzi majina ni yale yale. Mbaya zaidi hata kalaud spika ka kutupasha kinachoendelea, wameshindwa. Tunakaa tu kuuza sura. Pale kuna walemavu, wajawazito, wazee, n.k. Afadhali Sabasaba wameweka tuplastick chair watu wakae.mbona mimi nililipia bank..simple tu
hiki kibanda changu nilipe sinngapi na sina kibarua chochoteWananchi tujifunze kulipa mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho, ni shilingi elfu 10 lakini unaweza kupoteza muda siku 2 kama utani.
Haya ni matunda ya utawala wa CCM.hiki kibanda changu nilipe sinngapi na sina kibarua chochote
![]()
maanayake kidhungu-mkute kuleHivi neno Kizungumkuti lina maana gani? Ni kiswahili au kilugha gani?
mkuu mimi nashangaa nimeambiwa nilipe elfu 24,000 wakati ni elfu kumiWananchi tujifunze kulipa mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho, ni shilingi elfu 10 lakini unaweza kupoteza muda siku 2 kama utani.
maanayake kidhungu-mkute kule
bado sijaelewa, nini maana ya kizungumkuti?maanayake kidhungu-mkute kule
Utalipa na faini ambayo ni mara tano ya ulichotakiwa kulipa.
Mkuu elfu 10 ni uniform kwa nchi nzima kuanzia mwaka wa fedha 2017/18, huko nyuma ilikuwa kila halmashauri na utaratibu wake zingine elfu 2 mpaka 30. Lipa tu mkuu kama upo jijini.mkuu mimi nashangaa nimeambiwa nilipe elfu 24,000 wakati ni elfu kumi
Alafu kwa nyumba zile za "kienyeji" hazina namba ya kiwanja wala hati ya nyumba inakuaje??Baada ya hiyo terehe hatua gani sitachukuliwa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
WEWE UTAKUA UNA NYUMBA MJINI...AHAHAHAMalipo yote yanafanyika bank kinachofanyika ni mtu kwenda kuchukua bill yake na kwenda bank kulipia. hiyo bill ina contro namba ambayo inatumika kulink kati ya TRA na Commercial bank
Kaka elfu kumi hakuna kila mtu na makadirio yake kutokana na gharama za nyumba yakeWananchi tujifunze kulipa mapema kuliko kusubiri dakika za mwisho, ni shilingi elfu 10 lakini unaweza kupoteza muda siku 2 kama utani.
Kuongeza mapato!!Kukomoana huko, sheria gani ya faini ya mara 5? Penalties za late payment haziendagi zaidi ya 30%
Baada ya hiyo terehe hatua gani sitachukuliwa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app