Kodi ya majengo bado kizungumkuti

System lazima itakuwa down. Kumbuka ni nchi nzima. Bandwith imekuwa ndogo. Mzigo ni mkubwa.
Tujifunze kulipa kwa wakati. Late comers ni 80% ya wateja ( ref: consumer behavior)

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Pengine unaenda kulipa kodi kwa mara yako ya kwanza. Acha nikueleze. Tatizo la network TRA sio la leo na hii kodi ya vibanda.

Enzi za uhai wa 'Road License', nimesumbuka sana na 'network' ya TRA. Nina magari 41 ya kuyasimamia, Dar na Mtwara, hakuna mwezi ambao sikuwa nakanyaga TRA. Kila leo shida ni network network. Na usitake kuniambia kuwa tiGO na Vodacom miamala yao ya fedha sio nchi nzima. (ref: TRA behavior)
 
Ni vema mtu ukalipa mapema ila ukisema siku ya mwisho ndo ukalipe lazima utajimind na nafsi yako

[HASHTAG]#pamana[/HASHTAG] na hali yako#
 
Watu wanapenda kujaza mahali pamoja...hiyo kodi unaweza lipa tawi lolote TRA
Kweli mkuu,nami mwanzo nilidhani ni lazima kulipia katika ofisi ya TRA kwenye zone yako,nilisota kwenye foleni siku nzima in vain,nilipozinduliwa siku iliyofuata nikaenda ofisi ya TRA pale shekilango na Morogoro Road,ilinichukua dk kumi tu kutoka na risiti yangu ya malipo,tena wamejipanga vizuri sana,pale kuna options mbili;either uchukue bill yako ukalipie bank kwa wakati wako au kama pesa ipo unachukua bill na kulipia pale pale ofisini.
 
Malipo yote yanafanyika bank kinachofanyika ni mtu kwenda kuchukua bill yake na kwenda bank kulipia. hiyo bill ina contro namba ambayo inatumika kulink kati ya TRA na Commercial bank
Kwa baadhi ya ofisi unalipia papo hapo kwenye ofisi za TRA au unachukua bill na kwenda kulipia bank nadhani ndani ya siku saba.mfano ni ile ofisi ya TRA kando ya morogoro road upande wa kushoto kabla hujakunja kuingia shekilango Road.Kwa kweli nawapa hongera sana,kwani wamejipanga vizuri kwa kazi.
 
Kwa baadhi ya ofisi unalipia papo hapo kwenye ofisi za TRA au unachukua bill na kwenda kulipia bank nadhani ndani ya siku saba.mfano ni ile ofisi ya TRA kando ya morogoro road upande wa kushoto kabla hujakunja kuingia shekilango Road.Kwa kweli nawapa hongera sana,kwani wamejipanga vizuri kwa kazi.
Kuna baadhi ya ofisi za TRA wameongea na bank walete mtu wao wa kupokea pesa za walipa kodi ya majengo ili kupunguza msongamano.
 
Hebu jamani naombeni ufafanuzi.... Hii kodi analipa nani, na wa sehemu gani na kwa kipindi gani?? Ni Kama nilipitwa hivi.
 
kuna huyo jamaa mwenye fulana ya buluu kulia kwake kuna mshkaji anapanua mdomo kama anatapika
 
Ili kodi hii ikusanywe kwa ukamilifu ni vyema serikali ikaongeza muda wa mwezi mmoja kuanzia tarehe 15/7/2017, baada ya hapo hapatakuwa tena na msamaha wa aina yoyote. Huu ni ushauri tu.
 
Kwani TRA hawana account bank? Kwa nini watu wasilipie kwenye bank zao kuliko wanavyofanya sasa. Mambo ya kupanga foleni ni mtindo wa kihovyo sana. Mnakuja na matamko suluhu hamna. Property Tax lilipashwa iwepo kitambooo utaratibu ulipashwa uanzie Ardhi sasa hii kukurukakara inaumiza wengi.
Hii nchi kila mtu hukurupuka kivyakevyake tu. Watu wanaacha kazi za maendeleo na kushinda kutwa nzima ofisi za TRA. Mara uambiwe mtandao hakuna, mara hujakamilisha kitu fulani, ili mradi vurugu tu. Uchumi wa kati tutafika kweli!

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi kila mtu hukurupuka kivyakevyake tu. Watu wanaacha kazi za maendeleo na kushinda kutwa nzima ofisi za TRA. Mara uambiwe mtandao hakuna, mara hujakamilisha kitu fulani, ili mradi vurugu tu. Uchumi wa kati tutafika kweli!

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Mwee umerudia point zilizozuia Bunge live. Sasa tunapoteza muda wa uzalishaji huku TRA. Maajabu haya

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Kwani TRA hawana account bank? Kwa nini watu wasilipie kwenye bank zao kuliko wanavyofanya sasa. Mambo ya kupanga foleni ni mtindo wa kihovyo sana. Mnakuja na matamko suluhu hamna. Property Tax lilipashwa iwepo kitambooo utaratibu ulipashwa uanzie Ardhi sasa hii kukurukakara inaumiza wengi.


....Iko hivi unaenda TRA na risiti zako za nyuma ulizokuwa unalipia manispaa (kwenye kata yako) unampa mhusika pale TRA anaangalia kwenye system yao kama jina lako lipo wanaku printia karatasi ya bili yako; kama jina haliko kwenye system wanakuingiza saa hiyohiyo (utaulizwa jina kamili, mtaa unaoishi, na.ya nyumba, TIN no. yako etc). Sasa ukishapewa hiyo karatasi ya bili yako unaenda bank au Max malipo unalipa halafu unarudi tena na unawaachia nakala yao (pay slip) nawe unaenda zako.

Niliwauliza why wameamua ku centralize hili zoezi kwenye regional/District offices wakanijubu kwamba once wakishaingiza watu wote kwenye data base then next year malipo yatafanyika huko huko bank au Maxmalipo.
 
....Iko hivi unaenda TRA na risiti zako za nyuma ulizokuwa unalipia manispaa (kwenye kata yako) unampa mhusika pale TRA anaangalia kwenye system yao kama jina lako lipo wanaku printia karatasi ya bili yako; kama jina haliko kwenye system wanakuingiza saa hiyohiyo (utaulizwa jina kamili, mtaa unaoishi, na.ya nyumba, TIN no. yako etc). Sasa ukishapewa hiyo karatasi ya bili yako unaenda bank au Max malipo unalipa halafu unarudi tena na unawaachia nakala yao (pay slip) nawe unaenda zako.

Niliwauliza why wameamua ku centralize hili zoezi kwenye regional/District offices wakanijubu kwamba once wakishaingiza watu wote kwenye data base then next year malipo yatafanyika huko huko bank au Maxmalipo.
Huu ni ujima......

Yaani uende banki ukalipie halafu urudi tra na makaratasi

Hapo umeua siku 2 au zaidi....
 
WAMESHINDWA KUWEKA HATA MFUMO WA ONLINE AU BENKI AU KULIPIA KWA SIMU???

Interesting kwa kweli
Ishu sio kulipa. Unaenda serikali ya mtaa Unachukua form ya malipo, inaonyesha kiwango cha kulipa unaenda unalipia banks za biashara kama crdb, nmb na nyinginezo za biashara, ukishamaliza kulipa unaenda TRA office na zile forms za malipo kutoka banks pale ndio kuna foleni la kufa mtu.
Wengineo unakuta ana malimbikizo ya kulipa sasa ameenda kwa ajili ya Complain apo ndio kuna upotevu wa muda
 
Hebu jamani naombeni ufafanuzi.... Hii kodi analipa nani, na wa sehemu gani na kwa kipindi gani?? Ni Kama nilipitwa hivi.
Kama upo sehemu ya mjini jiandae, nyumba yako kuvunjwa kama alivyofanyiwa Mh. MBOWE kutoka Chama cha UFIPA
Haiwezekaniki kodi ya majengo imeubiriwa tokea mwezi wa saba mwaka Jana mpaka Leo ujaelewa
 
Back
Top Bottom