Kivazi cha Maunda Zorro Balaa

mimi ndo nimechuna na break za mbuzi kwa macho kuona alivobadilika rangi kama kinyonga ghafla!!!!

jamani hawa wasichana hawogopi?

waogope nini....unaweza kuiogopa biashara yako mwenyewe?
 
Sishangai huyo Maunda - siku ile pale usiku wa Kili Music Award ambapo huyu dada alivaa hivyo mbele ya umati, baba yake Mzee Zahiri alipopanda jukwaani kupokea zawadi yake, watoto wake walimsindikiza akiwemo Banana na Maunda. Zahiri alisema hivi ...... there are a lot of men out there but you dont want to marry my daughter .......... Ki-utamaduni nilishangaa, lakini nilipomuona Maunda mwenyewe alivyovaa SIKUSHANGAA labda ilikuwa ni "advert".
 
Sishangai huyo Maunda - siku ile pale usiku wa Kili Music Award ambapo huyu dada alivaa hivyo mbele ya umati, baba yake Mzee Zahiri alipopanda jukwaani kupokea zawadi yake, watoto wake walimsindikiza akiwemo Banana na Maunda. Zahiri alisema hivi ...... there are a lot of men out there but you dont want to marry my daughter .......... Ki-utamaduni nilishangaa, lakini nilipomuona Maunda mwenyewe alivyovaa SIKUSHANGAA labda ilikuwa ni "advert".

what would one expect from this kind of a parent jamani!!!!!!!!!!
 
c mnasema amezaa? huyo baba ajiulize kwanini huyo aliemzalisha hajamuoa.

aaaah dearest huyo ndo baba mwenyewe unamuonaje????

kuwa mzazi hakuiishi kwenye kuzaa tu......
no wonder waswahili husema kulea mimba si kazi kazi kulea mwana!!!!!!!!!!!!!!
 
aaaah dearest huyo ndo baba mwenyewe unamuonaje????

kuwa mzazi hakuiishi kwenye kuzaa tu......
no wonder waswahili husema kulea mimba si kazi kazi kulea mwana!!!!!!!!!!!!!!


kama unalijua hilo litakusaidia sana mbeleni dearest.
 
Huyu ni punguani kabisa tena limbukeni wa starehe halafu hana hata aibu kuvaa uchi mbele ya baba yake mzazi na kaka yake, kawatia aibu sana siku ile baba yake Mzee zahil Ally zorro na kaka yake Banana ambao walikuwa wakijiinamia tu, Banana na baba yake ni watu wanaheshimika kwenye jamii ya wapenzi wa music wa Bongo. Jirekebishe wewe dada na acha kuwatia aibu baba na kaka yako na familia zao
 
Sishangai huyo Maunda - siku ile pale usiku wa Kili Music Award ambapo huyu dada alivaa hivyo mbele ya umati, baba yake Mzee Zahiri alipopanda jukwaani kupokea zawadi yake, watoto wake walimsindikiza akiwemo Banana na Maunda. Zahiri alisema hivi ...... there are a lot of men out there but you dont want to marry my daughter .......... Ki-utamaduni nilishangaa, lakini nilipomuona Maunda mwenyewe alivyovaa SIKUSHANGAA labda ilikuwa ni "advert".

asikie aibu angempigia chapuo hapo juu???

Huyu ni punguani kabisa tena limbukeni wa starehe halafu hana hata aibu kuvaa uchi mbele ya baba yake mzazi na kaka yake, kawatia aibu sana siku ile baba yake Mzee zahil Ally zorro na kaka yake Banana ambao walikuwa wakijiinamia tu, Banana na baba yake ni watu wanaheshimika kwenye jamii ya wapenzi wa music wa Bongo. Jirekebishe wewe dada na acha kuwatia aibu baba na kaka yako na familia zao
 
Hivi huyu binti si kajifungua juzi juzi tu huyu..........anatia kinyaa kwa kweli.....Sura limekuwa bayaaaaaaaaa utafikiri kamwagiwa maji ya moto na kubabuka..................Kamekuwa kabayaaaaaaaaaa

Halafu huyo baba yake naye mshamba tu.....Hata hao wazungu wanaowaiga wengi wao hawaendekezi upuuzi huu.....We baba gani wa Kiafrika unamruhusu bintiyo kukumbatiana nawe akiwa nusu uchi mbele ya kadamnasi..........Zahir anapaswa kubadilika sasa,hata mwanawe Banana anamshinda bana.....................aaaaaaaaaaaaaaaaaargh

The dad probably wants attention too, may be even more that his daughter!, sickening!
 
kwa mwendo huo yataka kujisusa ili uweke ndani kitu ya aina hii kama mkeo. Maana hachelewi kukuaibisha pale ucpotaraji na penye kutaka staha ya hali ya juu sana.
 
Back
Top Bottom