Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
mimi ndo nimechuna na break za mbuzi kwa macho kuona alivobadilika rangi kama kinyonga ghafla!!!!
jamani hawa wasichana hawogopi?
waogope nini....unaweza kuiogopa biashara yako mwenyewe?
mimi ndo nimechuna na break za mbuzi kwa macho kuona alivobadilika rangi kama kinyonga ghafla!!!!
jamani hawa wasichana hawogopi?
waogope nini....unaweza kuiogopa biashara yako mwenyewe?
Sishangai huyo Maunda - siku ile pale usiku wa Kili Music Award ambapo huyu dada alivaa hivyo mbele ya umati, baba yake Mzee Zahiri alipopanda jukwaani kupokea zawadi yake, watoto wake walimsindikiza akiwemo Banana na Maunda. Zahiri alisema hivi ...... there are a lot of men out there but you dont want to marry my daughter .......... Ki-utamaduni nilishangaa, lakini nilipomuona Maunda mwenyewe alivyovaa SIKUSHANGAA labda ilikuwa ni "advert".
ka' ya Mpoki...!
Huyu ni mweupe alafu tena bado anajikarabati kha!!
what would one expect from this kind of a parent jamani!!!!!!!!!!
anatia kinyaa kabisa sasa
c mnasema amezaa? huyo baba ajiulize kwanini huyo aliemzalisha hajamuoa.
dearest wewe umemuelewa vizuri huko usoni? kumetokea nini jamani.
aaaah dearest huyo ndo baba mwenyewe unamuonaje????
kuwa mzazi hakuiishi kwenye kuzaa tu......
no wonder waswahili husema kulea mimba si kazi kazi kulea mwana!!!!!!!!!!!!!!
anatia kinyaa kabisa sasa
Sishangai huyo Maunda - siku ile pale usiku wa Kili Music Award ambapo huyu dada alivaa hivyo mbele ya umati, baba yake Mzee Zahiri alipopanda jukwaani kupokea zawadi yake, watoto wake walimsindikiza akiwemo Banana na Maunda. Zahiri alisema hivi ...... there are a lot of men out there but you dont want to marry my daughter .......... Ki-utamaduni nilishangaa, lakini nilipomuona Maunda mwenyewe alivyovaa SIKUSHANGAA labda ilikuwa ni "advert".
Huyu ni punguani kabisa tena limbukeni wa starehe halafu hana hata aibu kuvaa uchi mbele ya baba yake mzazi na kaka yake, kawatia aibu sana siku ile baba yake Mzee zahil Ally zorro na kaka yake Banana ambao walikuwa wakijiinamia tu, Banana na baba yake ni watu wanaheshimika kwenye jamii ya wapenzi wa music wa Bongo. Jirekebishe wewe dada na acha kuwatia aibu baba na kaka yako na familia zao
Hivi huyu binti si kajifungua juzi juzi tu huyu..........anatia kinyaa kwa kweli.....Sura limekuwa bayaaaaaaaaa utafikiri kamwagiwa maji ya moto na kubabuka..................Kamekuwa kabayaaaaaaaaaa
Halafu huyo baba yake naye mshamba tu.....Hata hao wazungu wanaowaiga wengi wao hawaendekezi upuuzi huu.....We baba gani wa Kiafrika unamruhusu bintiyo kukumbatiana nawe akiwa nusu uchi mbele ya kadamnasi..........Zahir anapaswa kubadilika sasa,hata mwanawe Banana anamshinda bana.....................aaaaaaaaaaaaaaaaaargh
I think it's lingerie.....wht's up with her face?