Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
Mohamed Said ni ukweli ulio wazi kwamba Historia inaweza kuthibitisha chochote kutegemea na yule anayetafiti na malengo pamoja na msukumo ulioko moyoni mwakeKapwila...
Kuna kitu nimekiona nimeona nikurudie nikuonyeshe ili upate yakini
kuwa kitabu changu kilikuja na taarifa muhimu sana katika historia
ya uhuru wa Tanganyika.
Soma hapo chini:
Haya ninayoweka hapo chini nimetoa katika kitabu changu kuhusu:
''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold
Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,
'' Minerva Press, London 1998.
''In June, TAA headquarters announced its executive committee
with J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President;
J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and
Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer
and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were
Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z.
James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.[1] The composition
of the TAA leadership showed East African solidarity that existed
during the struggle for independence. Kenyan patriots were elected
as office bearers side by side with Tanganyikans. It is said that it
was about that time, in the last months of 1953, that Abdulwahid
talked to Nyerere seriously about forming an open political party to
replace TAA.''
Kapwila,
Huyu Alexander M. Tobias alifukuzwa chama kwa usaliti katika mkutano
wa kuunda TANU July 1954 kwa sababu alichukua majalada ya TAA
akawapa Special Branch.
Habari hizi alinipa marehemu Mzee Germano Pacha mmoja wa wale
waasisi 17 wa TANU.
Kapwila,
Bado unaamini kitabu hiki ni cha kupuuzwa?
[1]Tanganyika Standard, 19 th June 1953.
Last edited by a moderator: