Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Nimesoma kitabu kinachojadiliwa hapa na bado nnaendelea kukisoma, kawaida yangu, hukisoma kitabu nilichokipenda mara nyingi sana, mpaka maudhui iniingie haswa. Jee, wewe umekisoma?
Ukikisoma na kukisoma na kukisoma hadi maudhui ikakuingia haswa kama unavyosema, je hiyo inafanya maudhui hiyo kuwa ya kweli? Kumbuka, endapo utasoma kwa style hiyo hadi maudhui ikaingia vilivyo, na ikatokea kitabu kimeweka uongo ndani yake, hata kama si waziwazi, uongo utakujaa na kuwa sehemu ya falsafa na imani yako.