Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Dah uko na maujuzi ya kufa mtu loolhahahhahahah hilo sipingi, ninao wengi raha iliyoje kila mahali nabembelezwa......
Dah uko na maujuzi ya kufa mtu loolhahahhahahah hilo sipingi, ninao wengi raha iliyoje kila mahali nabembelezwa......
1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa? N (Kwa sababu una mashine 10 za kusaga unga wa mtama)
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi - S
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba - N
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua - H...... (amechanganya na damu ya kimakonde)
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf - N........ ila msiri sana
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'? N (ila kwa mademu tu)
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'? H
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette? - N (najua siri ila naogopa selo)
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member? N
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli? N (Ulikuwa hujui Kaizer ni shemeji shemeji huku azima taa)
matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.
Dah uko na maujuzi ya kufa mtu lool
Hehehehee King'asti unajifanya unamkinga kifua eeeh
Hujajua huwa tunakuja kwako endapo tumekosa wakuwakagua na hali ni mbaya?ndo maana hamtaki kuniacha eeeh chezeya maujuzi ya utamu.....
Hahahahaaaa TANMO ni mashine sio akina Bishanga wanaolegea kwa kuitwa Sweetie au baby
Nakuonea huruma,subiri BT,Paw na Roulette wakushukie,leo ndo utajua kwa nini kitumbua sio andazi.1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa? N (Kwa sababu una mashine 10 za kusaga unga wa mtama)
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi - S
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba - N
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua - H...... (amechanganya na damu ya kimakonde)
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf - N........ ila msiri sana
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'? N (ila kwa mademu tu)
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'? H
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette? - N (najua siri ila naogopa selo)
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member? N
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli? N (Ulikuwa hujui Kaizer ni shemeji shemeji huku azima taa)
matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.
Hao wengine wanaziongeza wapi sema hujapata nafasi ya kuwa nao ndio utajua Bange haiongezi akili zaidi ya kumpeleka mtu speed kichwaniKama kila kuvuta mtakua mnakurupuka basi hamto fika popote. fateni igeni mfano ya wanao vuta ili kuongeza akili:
Kwani kakosa nini aisee acha kumtisha mwenzakoNakuonea huruma,subiri BT,Paw na Roulette wakushukie,leo ndo utajua kwa nini kitumbua sio andazi.
Kwa hiyo unataka kusema obama dakika tatu mbele?Hao wengine wanaziongeza wapi sema hujapata nafasi ya kuwa nao ndio utajua Bange haiongezi akili zaidi ya kumpeleka mtu speed kichwani
Ded wimbo wa Bange wa 20% kama unaujua