Kipima joto cha leo.....

1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa? N (Kwa sababu una mashine 10 za kusaga unga wa mtama)
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi - S
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba - N
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua - H...... (amechanganya na damu ya kimakonde)
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf - N........ ila msiri sana
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'? N (ila kwa mademu tu)
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'? H
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette? - N (najua siri ila naogopa selo)
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member? N
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli? N (Ulikuwa hujui Kaizer ni shemeji shemeji huku azima taa)

matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.

halafu platozoom unajua moyo wangu umekudondokea?
 
Last edited by a moderator:
Bishanga utakuwa huna hela wewe!:alien:
:A S 465: mbona una majungu sana? afu muulize Asprin kilichompata kwa kunilengeshea kwa Erickb52, PAW atakushughulikia hutoamini! :flypig:usinitaje!
Roulette, siku hizi hatugombei wanaume kabisaa! Ila ukimuona PAW wangu anakufuatilia ujue nimemtuma.:israel:
 
Last edited by a moderator:
Bishanga utakuwa huna hela wewe!:alien:
:A S 465: mbona una majungu sana? afu muulize Asprin kilichompata kwa kunilengeshea kwa Erickb52, Paw atakushughulikia hutoamini! :flypig:usinitaje!
Roulette, siku hizi hatugombei wanaume kabisaa! Ila ukimuona PAW wangu anakufuatilia ujue nimemtuma.:israel:
Hehehehee King'asti unajifanya unamkinga kifua eeeh
Mi nataka Roulette nimuweke mikononi ili namimi nijidai pasiwe na wa kunigusa...!
Roulette mama....come to ma world nikupe love hadi wanoko washangae....!
Say yes nikupe surprise sasa hivi!
 
Last edited by a moderator:
Heheheheeeee Roulette humu nahisi watu huwa tunazipuliza kila saa lol
Tuzoee tu

Kama kila kuvuta mtakua mnakurupuka basi hamto fika popote. igeni mfano ya wanao vuta ili kuongeza akili:
images
 
1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa? N (Kwa sababu una mashine 10 za kusaga unga wa mtama)
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi - S
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba - N
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua - H...... (amechanganya na damu ya kimakonde)
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf - N........ ila msiri sana
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'? N (ila kwa mademu tu)
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'? H
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette? - N (najua siri ila naogopa selo)
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member? N
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli? N (Ulikuwa hujui Kaizer ni shemeji shemeji huku azima taa)

matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.
Nakuonea huruma,subiri BT,Paw na Roulette wakushukie,leo ndo utajua kwa nini kitumbua sio andazi.
 
Last edited by a moderator:
Kama kila kuvuta mtakua mnakurupuka basi hamto fika popote. fateni igeni mfano ya wanao vuta ili kuongeza akili:
images
Hao wengine wanaziongeza wapi sema hujapata nafasi ya kuwa nao ndio utajua Bange haiongezi akili zaidi ya kumpeleka mtu speed kichwani
Ded wimbo wa Bange wa 20% kama unaujua
 
Hao wengine wanaziongeza wapi sema hujapata nafasi ya kuwa nao ndio utajua Bange haiongezi akili zaidi ya kumpeleka mtu speed kichwani
Ded wimbo wa Bange wa 20% kama unaujua
Kwa hiyo unataka kusema obama dakika tatu mbele?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom