ITV mmenifanya kujiskia aibu na kipindi chenu cha kipima joto.

Lubengera

JF-Expert Member
Jun 21, 2019
813
1,295
Kipindi chenu cha kipima joto cha leo, hakikuwa na mvuto sababu ni staged!
Hakina mvuto sababu kama Taifa bado tunasafari ndefu sana!

Mambo muhimu kama ya umeme, maji , Afya, Elimu etc ,tuweke mambo ya siasa mbali, tuwe na focus kama nchi! hao ilipaswa waulizwe maswali ambayo hayakupangwa.

Maswali yote yaliyo ulizwa, inaonekana kabsa wahusika walikuwa tayari na ufaham wa aina ya maswali ya washiriki.

Nimechoka.
 
Kipindi chenu cha kipima joto cha leo, hakikuwa na mvuto sababu ni staged!
Hakina mvuto sababu kama Taifa bado tunasafari ndefu sana!

Mambo muhimu kama ya umeme, maji , Afya, Elimu etc ,tuweke mambo ya siasa mbali, tuwe na focus kama nchi! hao ilipaswa waulizwe maswali ambayo hayakupangwa.

Maswali yote yaliyo ulizwa, inaonekana kabsa wahusika walikuwa tayari na ufaham wa aina ya maswali ya washiriki.

Nimechoka.
Washenzi tu hao!
 
Kipindi chenu cha kipima joto cha leo, hakikuwa na mvuto sababu ni staged!
Hakina mvuto sababu kama Taifa bado tunasafari ndefu sana!

Mambo muhimu kama ya umeme, maji , Afya, Elimu etc ,tuweke mambo ya siasa mbali, tuwe na focus kama nchi! hao ilipaswa waulizwe maswali ambayo hayakupangwa.

Maswali yote yaliyo ulizwa, inaonekana kabsa wahusika walikuwa tayari na ufaham wa aina ya maswali ya washiriki.

Nimechoka.
Pole sana Mkuu na Taarifa ya uhakika niliyonayo ni kwamba ITV sasa ipo chini ya ( mikononi mwa ) Kitengo ( SSIT ) mpaka na Chama Ng'ang'anizi Afrika hadi Duniani na kwamba hata Kipindi cha Dakika 45 Kinaratibiwa nao na hata yale Maswali Mtangazaji Farhia Middle huwa anaandaliwa nao Kimkakati kabisa na kupewa ili ayaulize kwa Niaba.
 
Pole sana Mkuu na Taarifa ya uhakika niliyonayo ni kwamba ITV sasa ipo chini ya ( mikononi mwa ) Kitengo ( SSIT ) mpaka na Chama Ng'ang'anizi Afrika hadi Duniani na kwamba hata Kipindi cha Dakika 45 Kinaratibiwa nao na hata yale Maswali Mtangazaji Farhia Middle huwa anaandaliwa nao Kimkakati kabisa na kupewa ili ayaulize kwa Niaba.
Mkuu, nimefedheheshwa sana! kama Taifa bado tunasafari ndefu sana! sielew kwanini tunaendekeza propaganda kwa vitu sensitive.
 
Pole sana Mkuu na Taarifa ya uhakika niliyonayo ni kwamba ITV sasa ipo chini ya ( mikononi mwa ) Kitengo ( SSIT ) mpaka na Chama Ng'ang'anizi Afrika hadi Duniani na kwamba hata Kipindi cha Dakika 45 Kinaratibiwa nao na hata yale Maswali Mtangazaji Farhia Middle huwa anaandaliwa nao Kimkakati kabisa na kupewa ili ayaulize kwa Niaba.
Asante Studio
 
Back
Top Bottom