Kipindi chenu cha kipima joto cha leo, hakikuwa na mvuto sababu ni staged!
Hakina mvuto sababu kama Taifa bado tunasafari ndefu sana!
Mambo muhimu kama ya umeme, maji , Afya, Elimu etc ,tuweke mambo ya siasa mbali, tuwe na focus kama nchi! hao ilipaswa waulizwe maswali ambayo hayakupangwa.
Maswali yote yaliyo ulizwa, inaonekana kabsa wahusika walikuwa tayari na ufaham wa aina ya maswali ya washiriki.
Nimechoka.
Hakina mvuto sababu kama Taifa bado tunasafari ndefu sana!
Mambo muhimu kama ya umeme, maji , Afya, Elimu etc ,tuweke mambo ya siasa mbali, tuwe na focus kama nchi! hao ilipaswa waulizwe maswali ambayo hayakupangwa.
Maswali yote yaliyo ulizwa, inaonekana kabsa wahusika walikuwa tayari na ufaham wa aina ya maswali ya washiriki.
Nimechoka.