Hiyo tunaikausha kwa kutumia yale magundi
Cantalisia amehamishiwa Kwedikwazu huko Segera Mkoani Tanga kikazi na mtandao katika eneo hilo ni kimeo, ni jana tu nilipokea barua yake pale posta akinijuza hali yake...........gfsonwin si unamjua anavyopenda manjonjo ya mchana?
btw Cantalisia binti Mtambuzi mbona simuoni siku hizi? au wako hanemuni na Rejao?
Cantalisia amehamishiwa Kwedikwazu huko Segera Mkoani Tanga kikazi na mtandao katika eneo hilo ni kimeo, ni jana tu nilipokea barua yake pale posta akinijuza hali yake...........
Mungu atamlinda.......... Anasali kwa Lwakatalesasa huko mbona kaibu na mambasa yakhe? asijetekwa na mashabab!
kilugwai kinakuhusu! nakuona unavyonifukunyua.we mbona umemu hurt?
platozoom uko sahihi....1.Eti bishanga ni tajiri kuliko balesa? N (Kwa sababu una mashine 10 za kusaga unga wa mtama)
2.Eti Asprin ujanja wa bure tu kumbe jogoo halipandi - S
3.Eti kumbe Kongosho katika maisha halisi ni Mwigulu Nchemba - N
4.Eti Zinduna ni mhaya pyua - H...... (amechanganya na damu ya kimakonde)
5.Eti BADILI TABIA ana mabwana kibao jf - N........ ila msiri sana
6.Eti Eiyer naye siku hizi anatoa 'like'? N (ila kwa mademu tu)
7.Eti Madame B bado ameuchuna hadi leo hatoi 'like'? H
8.Eti maMoDs wanaanza mgomo kesho kisa Paw kateguliwa kiuno na Roulette? - N (najua siri ila naogopa selo)
9.Eti Erickb52 na Amyner wameachana,kisa erick hataki kumlipia Amyner u bronze member? N
10.Eti kumbe gfsonwin na Kaizer wanafanya kweli? N (Ulikuwa hujui Kaizer ni shemeji shemeji huku azima taa)
matokeo ya kipima joto yatatolewa kesho muda kama huu.