Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
WaTanzania kote nchini sasa tunasema tena kwa sauti kwamba waliomteka Dr Ulimboka WAMWACHIE MARA MOJA na akiwa hana jeraha lolote lile!
Hili lisipotekelezwa kwa haraka basi huenda kukafuatia mgomo mkubwa zaidi wa sehemu kubwa zaidi ya wananchi kila kona ya nchi wakati wowote tangu sasa!
Hili lisipotekelezwa kwa haraka basi huenda kukafuatia mgomo mkubwa zaidi wa sehemu kubwa zaidi ya wananchi kila kona ya nchi wakati wowote tangu sasa!