Slaa ana mahojiano na Kinana mbona haijakaa sawa hii? Kwani Kinana ndiye mgombea wa CCM? Basi kama Kinana anataka mdahalo wafanye na Baregu siyo Slaa. Slaa anatakiwa kupambana na Kikwete, huyu ndiye size yake.
Mimi msimamo wangu ni tofauti kidogo,"you can not compare like with unlike"apple can not be compared with an orange.Although, altogather are fruits.This is unfair game.Mdahalo ulipaswa uwe kati ya Dr Slaa na Kikwete,because they are presidential candidates for CHADEMA and CCM respectively.
Slaa amjia juu muongoza kipindi.
Amjibu deodoras Kamara, sema Kamara hakutanguliza maslahi ya watanzania kwenye mkataba wa Afrika Mashariki, asema elimu ya Kamara haijamsaidia, hajaweka uzalendo mbele, yeye (Slaa) anasema kati ya mikataba mibovu ni Protocol ya afrika Mashariki ambayo ataipitia na kuiboresha kwa faida ya watz. Kupunguza kodi kwenye vifaa vya ujenzi inawezekana kwa faida ya watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.