wadau dr slaa na kinana live star tv, Kinana yuko studio ya dar , slaa yuko ya mwaza, si mbaya wadau mkafatilia, coz slaa anaongelea kuhusu baraza lake la mawaziri
Lakini kinana anakubali kwamba Dr Slaa ameleta maendeleo Karatu, lakini anakubaliana nae kuwa kulendesha ni gharama, lakini anasema kuwa na mawaziri 30 si tatizo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.