mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,514
- 10,413
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Sura, makalio, miguu, umbo ni natural (ukiondoa vya mchina) na vinaonekana barabarani ndo mana tuna-concentrate kuviangalia. Ila kupika kunafundishika halafu hakuonekani barabarani, hiyo siyo ishu kwa wakaka wengi