mbona mimi mume wangu anajua kupika kuliko mimi naamenifundisha kiasi na anaendelea kunifundisha ila cv yangu haijashuka?swala la mapishi is very important na kama mwanamke haujui kupika cv yako inashuka sana.
mbona mimi mume wangu anajua kupika kuliko mimi naamenifundisha kiasi na anaendelea kunifundisha ila cv yangu haijashuka?
HATE. (Kama kungekuwa na sehemu ya kugonga hate ningekugongea hate) utaayajua mawazo ya wavula tu. wew nadhani kivulana. preta umeyaona mawazo ya wavulana? ndo hayo sasanot really!! unless you are a chef or cook for parties, cooking skills aren't so important in choosing mwanamke. Most of us know basic cooking and those who don't can afford restraunts or a house girl
let X=Y af fungukammhh....ningekuwa mvulana ningejibu hili swali kwa ufasaha zaidi .....wavulana mje hapa....
:lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: :lol: kama hukusoma sayansi kimu nenda cooking class, kupika kunafundishika.HATE. (Kama kungekuwa na sehemu ya kugonga hate ningekugongea hate) utaayajua mawazo ya wavula tu. wew nadhani kivulana. preta umeyaona mawazo ya wavulana? ndo hayo sasa
mmmmmmmhNingependa kujua kupika lakini habari ya kuungua aloo inanitoa amani. Mama ntilie si wapo bwana, sioni kama ina umuhimu
Si kweli....Kwa style hii tusiojua kupika mahanjumat ya mombasa naona ndoa tutazisikia kwenye bomba kwa kweli..
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Ningependa kujua kupika lakini habari ya kuungua aloo inanitoa amani. Mama ntilie si wapo bwana, sioni kama ina umuhimu