Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Mida flan nilipita pale kuna jamaa yangu anauhusika na mambo ya feza pale ndan akanambia kuna vijana wanahojiwa,ila hakunipa majina ya vijana hao.
Pia sehemu ya parking magari ya vigogo ilikuwa na magar yao hii inaonesha kuna jambo kuukuu.
nipo hapa mjengoni naweka sawa mambo ili niwajuze kilichojili