mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 82,026
- 108,486
Kitunguu nmelima kilosa, LumumbaWapi huko? Morogoro?
Nkapigaga kaela fulani ila syo zile zao wanazosema
Nkaja tena nkalamiga kitungu mvumi, Kilosa maeneo ya mangombole...kuna mashamba yana scheme ya umwagiliaji
Nlipata kdg sema hapo dongo halikuwa zuri kwa kitungu.
Ufutq nlilimaga dodoma,mlowa kuna pori linaitwa madimo,hilo pori sisi ndy watu wa kwanza kwenda huko kulisafisha na kuanza kulima...nakumbuka kulima tulitumia ngombe,tena tuliwafatq mpunguzi kuwakodi
Ila ufuta nlikula za uso.
Sema badaye watu wote huko nao wakalivqmiq pori hilo kuanza nao kulima.
Ukienda huko mkuranga mwarusembe tumelima sana tikikiti na matango.
Mpunga nmelima kwenye mashamba ya mstaafu rip mwinyi dakawq.
Nyanya nmelima morogoro sehemu za magole ,kuna Estate farm ya Don mmoja
Nkiendelea kutoa cv ya kulima himu ntajaza server ya jf 😄
Hawa wanaohifqnyq sjui bbm bbt sjui wanazungumzia kilimo tunawa zoom tu
Ova