Ookay kwavile ni perishable ukizilima msimu wake ukakosa soko ehhh? Nilishamskia Kubota akiongea hii. Fafanua nawe zaidi tuelewe, nadhani wa sita uko iringa wanalima wengi basi soko litakuwa hamna au bei ya kutupa. Hebu wadau mtujuze msimu gani mzuri kulima nyanya?
Barikiwa sana bwana GEBA2013. Zao la nyanya linakanuni mbili tu, NYANYA ninyanyase & NYANYA ninyanyue!! ikiwa na maana kwamba ukilenga msimu mzuri wa nyanya utanufaika na soko, ila ukifail kutageti soko/msima utanyanyaswa na nyanya mpaka utachukia kilimo hiki.
Last edited by a moderator: