CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
ahsante wakuu kwa michango yenu!
Binafsi napenda kujua kuhusu kilimo cha nyanya.......ila kwa mliyoyachangia hapa yanatosha,napenda tuu kuongezea swali dogo juu ya soko la nyanya,jee ni msimu wa kuanzia mwezi gani unafaa kwa kilimo cha nyanya?ili wakati wa mavuno uvunie ktk bei nzuri?na bei ya wakati huo huwa number bei gani kwa kilo ya nyanya(moneymaker)na vipi soko la hoho lipo?
Binafsi napenda kujua kuhusu kilimo cha nyanya.......ila kwa mliyoyachangia hapa yanatosha,napenda tuu kuongezea swali dogo juu ya soko la nyanya,jee ni msimu wa kuanzia mwezi gani unafaa kwa kilimo cha nyanya?ili wakati wa mavuno uvunie ktk bei nzuri?na bei ya wakati huo huwa number bei gani kwa kilo ya nyanya(moneymaker)na vipi soko la hoho lipo?