Petronfrancis
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 329
- 130
Ndiyo mkuu ni zip kwenda m3uhapo umenichanganya, zip kwenda m3u?
Ndiyo mkuu ni zip kwenda m3uhapo umenichanganya, zip kwenda m3u?
Kama hilo zip file ni la repository ya kodi, sidhani kama inawezekana, ila kama hilo file ni la m3u ambalo liko compressed kwenye zip file, then ni ku uncompress. ungetuma hilo file ndiyo tungeweza kukusaidia kwa uhakika zaidi.Ndiyo mkuu ni zip kwenda m3u
Sawa mkuuKama hilo zip file ni la repository ya kodi, sidhani kama inawezekana, ila kama hilo file ni la m3u ambalo liko compressed kwenye zip file, then ni ku uncompress. ungetuma hilo file ndiyo tungeweza kukusaidia kwa uhakika zaidi.
mkuu hii ni thread ya iptv nenda thread za satelite dish/qsat kupata msaada zaidiChief mkwawa naomba kufaham ni software gani au key ipi au link ipi naweza tumia kupata continental tv kwa kutumia qsat 11
gpu hazina driver au gpu yako ni ndogoNaomba msaada kwangu kwenye kodi naskia sauti tu bila picha na nimepata version mpya ya 16.1 na kuinstall ila bado vile vile.Msaada tafadhali
Nashukuru sana kwa kunifumbua macho,imenitesa sana,sasa GPU ni software au hardware yaani naweza upgrade au nikaibadili hiyo GPU??gpu hazina driver au gpu yako ni ndogo
gpu ni hardware lakini pia ili ifanye kazi inabidi uwe na software yake (driver)Nashukuru sana kwa kunifumbua macho,imenitesa sana,sasa GPU ni software au hardware yaani naweza upgrade au nikaibadili hiyo GPU??
Naomba kujua kama hii acestream naweza kuaccess ktk tecno y6Kuhusu hiyo acestream ina tofauti gani na hizi addons za P2P Streams kama Operation Robcop maana nazo ni kama torrent!
Ila pia nimeona kama ina addon yake pia HAPA